Watu kadhaa wanahofiwa kufariki dunia katika ajali ya gari baada ya basi la kampuni ya Nyehunge kugongana uso kwa uso na basi la kampuni ya Asante Rabi.
Ajali hiyo imetokea leo Oct 22, 2024 majira ya alfajiri katika eneo la Ukiliguru, wilayani Misungwi mkoani Mwanza.
===
Watu wanane wamefariki...