Wakuu
Ajali mbaya imetokea asubuhi ya leo katika eneo la Mombasa, Ukonga, ambapo lori la mkaa kama unavyoona kwenye picha limegonga gari dogo aina ya IST kwa nyuma.
Dereva wa gari aina ya IST aliposikia honi hizo na kuona lori likija kwa kasi, alijaribu kujinusuru kwa kuongeza mwendo, lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.