Mahakama ya Hakimu Kisutu iliyopo Dar es Salaam, imeahirisha kesi inayowakabili wamiliki wa jengo la ghorofa lililoporomoka eneo la Kariakoo hadi Januari 13, 2025 kwa ajili ya kutajwa.
Kesi hiyo imeahirishwa mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi wa mahakama hiyo Godfrey Mhina baada ya Wakili wa...
Nachojua Tukio la ajali Kariakoo wakati linatokea Rais Samia alikuwa bado nchini, kaondoka nchini baada ya ya tukio kuwa tayari na taarifa alikuwa nayo, ila akapanda ndege kwenda Brazil, leo anasema wakati tukio linatukia alikuwa tayari safarini kwa nini anadanganya umma?
Taarifa ya Ikulu...
Inasikitisha sana, poleni wote waliofikwa na janga hili.
Miongoni mwa watu walionusurika katika ajali ya jengo la Kariakoo, jijini Dar es salaam Tanzania, Norbert Oswald amesimulia jinsi alivyonasa na kisha kuokolewa yeye na kaka yake wakati alipozungumza na mwandishi wa DW Yakub Talib.
Soma...
Ijumaa Novemba 22, 2024: Waziri Mkuu aunda Tume maalumu ya watu 21
- Kwa mujibu wa maelekezo ya Rais Dkt. Samia, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amezindua Tume maalum ya wajumbe 21 ambao wamebobea kwenye masuala ya ujenzi kuchunguza chanzo cha tukio la ajali ya jengo lililoanguka Kariakoo, pamoja na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.