Watu 15 akiwemo Mtoto, wamejeruhiwa huku baadhi yao wakiwaishwa Hospitali kutokana na majeraha waliyoyapata baada ya Ndege ya Delta ya Nchini Marekani kupata ajali leo kwa kubinuka juu chini kwenye njia ya kurukia Ndege baada ya kutua katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Toronto Nchini Canada...
Wakati upelelezi ukiwa bado unaendelea na shutuma za nani kasababisha ajali ya kugongana kwa chopa ya jeshi na ndege ya kiraia Marekani zikiendelea kurushwa na wadau mbalimbali, nimekutana na Habari nyingine mpyampya!
Kwamba aliyekuwa anaendesha chopa ya jeshi alikuwa ni askari mmoja...
Lawam nyingi zimeelekezwa kwa Donald Trump Rais wa Marekani kufuatia ajali mbaya ya ndege iliyotokea jimbo la Virginia ambapo ndege ya abiria imegongana na helicopter ya jeshi na kuua watu zaidi 60. Hata hivyo Trump mwenyewe amekwepa uwajibikaji na kumtupia lawama mtangulizi wake Biden.
Watu...
Zaidi ya watu kumi na wanne waliuawa baada ya ndege ya mikoa ya American Airlines yenye abiria 64 kugongana na helikopta ya kijeshi ya Black Hawk dakika chache kabla ya ndege hiyo kutua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Ronald Reagan wa Washington D.C. mnamo jioni ya Jumatano, kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.