ajali za bodaboda

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. GENTAMYCINE

    Viongozi wa dini wamekutana na madereva bodaboda zaidi ya 200 kufanya maombi na kuondoa pepo la ajali

    Jopo la wachungaji na viongozi wa dini mbalimbali wamekutana na madereva bodaboda zaidi ya 200 wa kijiwe cha Kilimanjaro ndani ya Halmshauri ya Mji Tunduma kwa lengo la kufanya maombi na kuondoa pepo la ajali zilizotokea mfululizo ndani ya mwezi Agosti na kusababisha vifo. Chanzo: East Africa...
  2. Dali Mpofu

    Baadhi ya ajali za bodaboda husababishwa na abiria wao

    Abiria wengi kwenye bodaboda wanataka waangalie kila hatua la tairi la mbele la pikipiki linapopita, anataka aone mbele kuliko hata dereva. Na ikiwa haoni vzuri upande huu anageuza shingo upande wa pili,hii inaperekea wakati mwingine kumyumbisha dereva kwasababu wakati mwingine mko sehemu finyu...
  3. Kaka yake shetani

    Kwa jinsi pikipiki zinavozidi kupoteza wapendwa wetu sijui kwanini serikali iliona kama ni biashara

    Nimepoteza mtu naye mfahamu leo huko Mwanza na mtumishi ambaye bado tunamuhitaji. Yote haya kila siku tukizidi kupoteza ndugu zetu na wengine kuwa walemavu wa maisha sababu ya hizi pikipiki. Serikali hakuna mazingira mazuri ambayo yamempa mwendesha chombo cha pikipiki husasani hawa bodaboda...
  4. Kaka yake shetani

    Tuliporuhusu bodaboda kuwa usafiri wa kubeba abiria tulikosea, utaratibu uliotumika haukuwa sahihi ndio chanzo cha matatizo tuliyonayo sasa

    Ramadhan Ng’azi Kamanda wa Kikosi cha Usalama barabarani alisema hayo kwenye redio ya Crown FM. “Tuliporuhusu bodaboda kuwa usafiri wa kubeba abiria tulikosea, utaratibu uliotumika haukuwa sahihi ndio chanzo cha matatizo tuliyonayo sasa, madereva". Je, kama vyombo vya polisi na idara zenu...
  5. Mwamuzi wa Tanzania

    Vijana wanakufa kwa ajali za bodaboda kila siku. Serikali haina taarifa au kwakuwa wahanga ni familia za kimaskini?

    Sina mambo mengi Hali ni ngumu, kila siku unasikia misiba huku na kule. Nazungumzia hii misiba ya bodaboda, serikali iko kimya kama hamna kinachoendelea. Je, serikali haina taarifa ya misiba hii ya bodaboda au haijali kwakuwa wahanga ni familia maskini?
  6. chizcom

    Majeruhi ajali za bodaboda tishio, MOI hupokea wagonjwa 280 kwa mwezi

    Dar es Salaam. Taasisi ya Tiba ya Mifupa, Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI) imekiri kupokea majeruhi wa ajali za bodaboda wastani wa watu 9 hadi 10 kwa siku ambapo ni sawa na 70 kwa wiki na 280 kwa mwezi. Akizungumza leo jijini Dar es Salaam kwenye mafunzo ya kimataifa ya matumizi...
Back
Top Bottom