Abiria wengi kwenye bodaboda wanataka waangalie kila hatua la tairi la mbele la pikipiki linapopita, anataka aone mbele kuliko hata dereva.
Na ikiwa haoni vzuri upande huu anageuza shingo upande wa pili,hii inaperekea wakati mwingine kumyumbisha dereva kwasababu wakati mwingine mko sehemu finyu...