ajali za malori

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    VIDEO: Lori laanguka Morogoro, wananchi wakimbilia kuchota mafuta

    Lori la mafuta (ambayo bado hayajathibitishwa kuwa ya aina gani) ambalo limeelezwa kuwa lilikuwa likitokea Dar es Salaam kwenda Morogoro limepinduka eneo la kijiji cha Mwidu mkoani Morogoro huku wananchi wakionekana kubebelea madumu kwa ajili ya kuchota mafuta hayo.
  2. Mindyou

    Video: Lori la mafuta lapata ajali Songwe. Wananchi hawajifunzi, wahangaika kujichotea mafuta ya bure

    Wakuu, Kwenye hii video huyu ni dereva wa hili lori akirekodi tukio zima kwa ajili ya kumuonesha bosi wake. Ni hasara. Kilichonisikitisha zaidi ni kuona kuna watu wanachota mafuta hapo wakisahau kabisa kuwa hilo gari likilipuka ni hatari sana kwao. Watu wana confidence sana kwa kweli...
  3. Cute Wife

    Nini kifanyike kupunguza ajali za malori ya masafa marefu zinazosababishwa na uchovu mwingi kwa madereva?

    Wakuu salam, Ajali nyingi zinatokea zikihusisha malori kama umechunguza mara nyingi huwa ni sababu dereva alisinzia kutokana na uchovu mwingi wa kuendesha muda mrefu bila kupumzika au anakuwa ametumia vilevi, na mbaya zaidi anakuwa peke yake. Licha ya sheria kuwataka kuwa madereva wawili ili...
Back
Top Bottom