ajenda za vyama vya upinzani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Chadema imedhihirisha kuwa haiwezekani kuwaamini wapinzani

    Hata iweje wapinzani wanabaki kuwa wapinzani tu.hawana zuri bali ni watumia fursa tu.Ni mafisi wanaosubiri mfupa. Hawana sera na hawataki kujielekeza kwenye hoja ya kuikwamua nchi kutoka kwenye makucha ya kikoloni. wapinzani ni zao la ukoloni. Hata wapewe nini watabaki hivyo tu. Je...
  2. Pre GE2025 Hivi ni mimi pekee siwaelewi Hawa wapinzani?

    Nawasalimu kupitia jina kuu lipitalo majina yote. Moja Kwa moja, mimi sio mwanaharakati na sitaki kujihusisha. Pamoja na hayo nikipata nafasi ya kuwasikiliza Hawa jamaa ni kama hawana mwelekeo wala mpango wowote. Ukiwasikiliza sana utasikia vijembe na matusi pekee dhidi ya serikali na...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…