ajira baada ya kuhitimu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Eli Cohen

    Serikali iwavutie vijana graduates katika kilimo kwa kuwakopesha mashine za irrigation katika makundi. Hii itasaidia kuwaondoa mitaani

    Dkt. Gwajima D Bado kilimo kinaonekana kama kamali machoni mwa vijana wa mjini Bado kilimo kinaoekana primitive katika fikra za vijana wa mjini. Lakini naamini kilimo hichi ndio mkombozi wao wa kukosa ajira. Bado tuna ardhi kubwa sana nyingine za wanachi na nyingine za serikali zilizo tengwa...
  2. Millifire69

    Think Twice About What You're Studying – AI is Already Causing Job Losses!

    Hello fellow members, I want to raise awareness about an issue that is affecting many industries today – artificial intelligence (AI). It is clear that AI is transforming the job market, and we need to be aware of how this could impact the careers we’re working so hard for. AI is being...
  3. C

    Natafuta kazi, nimemaliza Kidato cha sita

    Mimi ni kijana wa kiume miaka 21 Nina elimu ya form six Nimeshindwa kujiendeleza na masomo mwaka jana maana nilikosa mkopo Hivyo basi natafuta kazi yoyote maana nilikokuwa nimejishikiza mwenyewe amefunga Napatikana kwa 0622905303
  4. Thomson mtau

    Serikalini hakuna ajira, viongozi ni muda wa kuwa wakweli

    Serikali na viongozi wake ni muda sasa wa kuwambia ukweli wahitimu wetu katika nyanja tofauti ukiangalia idadi ya vijana waliomaliza vyuo inatisha, wanaojitolea kwa posho kidogo ndio usiseme. Nini cha kufanya fanyieni marekebisho mitaala yetu ili kijana anapomaliza masomo aweze kujiajiri...
  5. R

    Natafuta kazi

    Jina: Rich Mashauri Mahali: Dar es salaam Elimu: Muhitimu Bachelor of accounting with information technology (BAIT) chuo cha IFM Miaka: 23 Gender: Male Ujuzi: IT skills, accounting ethics na ujuzi katika maswala ya biashara na tax principals Majukumu kwa sasa: Najiendeleza na masomo ya CPA...
  6. I LOVE YOU DUCE

    Naomba Ushauri: Kuchagua kati ya fursa mbili za kazi baada ya kumaliza Shahada yangu

    Salamu Wana bodi, Tafadhali sana, leo kwa pamoja mnipe ushauri kama mdogo wenu na kijana anayepambania ndoto na maisha yake. Mwezi wa saba, kwa neema ya MUNGU, namaliza shahada yangu ya kwanza ya elimu katika masomo ya sayansi hapa DUCE. Kama ilivyo mazingira ya taifa letu na ugumu wa maisha...
Back
Top Bottom