ajira na connection

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    Tunapoelekea ajira itakuwa ndoto kupata kwa watoto wa maskini na kama huna connection

    Binafsi, nilitambulishwa kwa mke wa Mheshimiwa fulani. Nikaona niwe na mawasiliano naye mara kwa mara kama dada yangu. Hivi majuzi, aliniuliza kama nilikuwa tayari nimepata ajira. Nilipomwambia kwamba bado sijapata, aliniambia atanisaidia kwa kuzungumza na mume wake ili aone namna gani anaweza...
  2. Thee MF

    Mfumo wa ajira nchini umeshindikana, bila connection hutoboi!

    Mfumo wa Ajira Nchini kwetu umeshindikana kabisa hasa kwa tusio na Koneksheni kabisaa! Mfano: nimewahi kuitwa kwenye interview nyingi tu za serikalini ila zote zinafanywa kwa ushahidi tu ili wale wasahili walipwe kwa kupoteza muda wetu. Viongozi wanakazia eti vijana mjiajiri wanasahau kama...
Back
Top Bottom