ajira polisi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    KERO Jeshi la Polisi liongeze muda wa kuomba ajira kutokana na changamoto ya mtandao

    Nawasalimu kwa Jina la Muungano wa Tanzania! Samahani, naomba kuwasilisha MAONI kutokana na kuwepo kwa changamoto ya kimtandao kuanzia tarehe 11.05.2024 hadi hivi sasa. Hali ambayo inazua taharuki kwa vijana waliyokidhi vigezo vya kufanya maombi ya nafasi za ajira zilizotangazwa kwenye mfumo wa...
  2. Jamii Opportunities

    Tangazo la ajira kutoka Jeshi la Polisi Tanzania Aprili, 2024

    Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania anatangaza nafasi za ajira kwa vijana wenye elimu ya Shahada, Stashahada, Astashahada, Kidato cha sita na Kidato cha nne. 1. Sifa za Muombaji a) Awe raia wa Tanzania kwa kuzaliwa. b) Awe amehitimu kidato cha nne au sita kuanzia mwaka 2018 hadi 2023. c) Kwa...
  3. Jamii Opportunities

    Nafasi za Ajira Jeshi la Polisi Tanzania Oktoba, 2023

    Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania anatangaza nafasi za ajira kwa waliohitimu mafunzo ya kujenga Taifa (JKT) na Kujenga Uchumi (JKU), waliopo kwenye makambi na nje ya makambi wenye elimu ya Shahada, Stashahada, Astashahada, Kidato cha sita na Kidato cha nne. 1. Sifa za Waombaji a) Awe raia wa...
Back
Top Bottom