Habari,
Natafuta Kazi ya Stationery. Nina cheti cha Computer na nina uzoefu wa Kazi ya stationary and internet cafe kwa muda wa miaka 6. Mkoa;- Dodoma, Dar es salaam na Iringa.
Mkoa ninao ishi kwa sasa ni Mbeya.
Age 25
Habari ya majukumu,
Natafuta mfanyakazi wa stationery mwenye uzoefu na kazi hii.
Location: Mbeya Mjini
Mawasiliano: 0629081759
NI HARAKA, WAI TUFANYE KAZI.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.