Tanzania Kwenu!!!!!!
Nimepanda hili swala la serikali kuajiri walimu 10,000 kabla ya December 2021
Kilichonifurahisha ni kuchukuliwa kwa 20% ya walimu wote kutoka katika maeneo waliyopo (wanakojitolea)
Hii inasaidia sana kupata walimu wanaojua mazingira lakini itasaidia walimu walioko...