akiba ya maneno

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. SAYVILLE

    Akiba ya Maneno: Al Hilal na Yanga inaenda kuisha kwa droo

    Wiki hizi mbili zimekuwa chungu sana kwa wana utopolo. Tumewananga kwa vikokotoo na hesabu za vijiti. Leo nitakuwa na akiba ya maneno. Mechi ya Al Hilal vs Yanga inaenda kuisha kwa sare. Kuhusu mechi ya mwisho na MC Algier, hilo ngoja niliweke kama akiba hadi siku husika. Hongereni wana...
  2. Waufukweni

    Pre GE2025 Ezekia Wenje awajia juu wanaotukana adai "Tuweke akiba ya maneno"

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kanda ya Victoria na Mtia nia wa nafasi ya Umakamu Mwenyekiti wa chama hicho bara Ezekia Wenje akizungumza na wanahabari siku ya Ijumaa Januari 3, 2025 mkoani Mwanza, amesema; "Chama (CHADEMA) ni kikubwa kuliko mtu yeyote, hii dunia wote...
  3. Majok majok

    Simba kuweni makini na hiyo timu yenu, wekeni akiba ya maneno, ushindi dhidi ya Tabora, Singida fountain gate usiwafanye mkaona mko vizuri

    Nimeona mashabiki na wanachama wa Simba wakifurahia kupitia kiasi ushindi wao wa mechi 2 dhidi ya wagonjwa TABORA united na singida FOUNTAIN GATE lakini Kuna wengine wanaoujua mpira Wala awakufurahi Bali wanasema Simba bado aijaanza ligi kulingana na aina ya timu walizokutana nazo kuwa ni dhaifu...
  4. Nehemia Kilave

    Kumbuka ni muhimu kutokuwa na neno "never", bakiza asilimia moja ya kutokwenda unavyotaka kwa jambo lolote lile

    Kama ilivyo binadamu hatuja kamilika basi tukumbuke kutokuwa na neno KAMWE or Never, hivyo lazima siku zote uwe na Asilimia moja ya kutokwenda unavyotaka kwa Jambo lolote lile. Hii itakusaidia kufanya maamuzi sahihi pale mambo yanapokwenda vile usivyo taarajia mfano: Lazima uwe na 1% kwamba...
Back
Top Bottom