al hilal

Al Hilal Saudi Football Club (Arabic: نادي الهلال السعودي), simply known as Al Hilal, is a professional multi-sports club based in Riyadh, Saudi Arabia. Their football team competes in the Saudi Professional League. They are the most decorated club in Asia winning 65 official trophies. They also hold the record for the most continental trophies in Asia, as well as a record 18 Professional League titles.
Founded on 16 October 1957, Al Hilal are one of four teams to have participated in all seasons of the Saudi Professional League since its establishment in 1976.
Overall, Al Hilal have won 65 official titles and 100 when unofficial trophies are counted. In domestic competitions, they have won a record 18 Professional League titles, a record 13 Crown Prince Cup titles, a record seven Saudi Federation Cup titles, nine King Cup titles, a record three Super Cup titles, and also the Saudi Founder's Cup.
Internationally, Al Hilal have won a record eight Asian Football Confederation trophies – the AFC Champions League in 1991, 2000, 2019 and 2021, the Asian Cup Winners Cup in 1997 and 2002, and the Asian Super Cup in 1997, 2000. In September 2009, Al Hilal was awarded Best Asian Club of the 20th Century by the IFFHS.

View More On Wikipedia.org
  1. E

    Sababu kuu mbili kwanini matokeo ya Al hilal vs Yanga yalikuwa 0-1

    1.Ushindi 1-0 kwa Yanga , maana yake Al hilal kivyovyote ataongoza Kundi hata akifungwa na Mazembe 2.Yalitosha kumpa Yanga points zitakazoweza kumvusha endapo atashinda mechi yake ya Leo . Mahesabu makali ya Ibenge yamewapa Yanga unafuu wa kusonga mbele
  2. GENTAMYCINE

    Kikosi cha Ibenge alichofungwa Mauritania jana ni kilekile alichoshinda Mechi ya awali Tanzania?

    Nadhani niliwatahadharisha mapema kuwa hakuna Watu Wanafiki na wepesi kufanya Biashara za Madili kama akina Bandeko Nangai (Wakongomani) na hatimaye mmekiona. Pamoja na Uzito wangu wa sasa wa Kilo 83 nikiwa Golikipa siwezi Kufungwa Goli jepesi kama lile alilofungwa Kipa wa Timu ya Kocha Mnafiki...
  3. Shy land

    Yanga akifugwa leo nipigwe ban ya siku saba

    Naona ngoma ya watoto ashaisha, naombeni tu mkalale salama kesho shule zinafunguliwa. Mimi nikiwa kama shy land mganga na mgaguzi kweli kweli nimecheki mitambo yangu nimeona al hilal amekufa tatu bila Ikitokea matokeo yakienda kinyume yaani yanga kufungwa nakuomba sana Paw Moderator Invisible...
  4. SAYVILLE

    Akiba ya Maneno: Al Hilal na Yanga inaenda kuisha kwa droo

    Wiki hizi mbili zimekuwa chungu sana kwa wana utopolo. Tumewananga kwa vikokotoo na hesabu za vijiti. Leo nitakuwa na akiba ya maneno. Mechi ya Al Hilal vs Yanga inaenda kuisha kwa sare. Kuhusu mechi ya mwisho na MC Algier, hilo ngoja niliweke kama akiba hadi siku husika. Hongereni wana...
  5. Komeo Lachuma

    Yanga inamchapa Al Hilal kwao, Game itaisha ushindi kwa Yanga

    Ni kicheko tuuuuu.... Kwa raha zangu. Al Hilal wamejichanganya sana.wameingia kwenye mfumo kipigo ni halal yao. Kama ilivyoandikwa Al mil shalluh tunawah aanith watalah sal namil kasas. Kisasa lazima kiwaangukie hawa mbwa. Game imeisha.... Imesha mapema sana. Yaani mpaka raha. Natembea nacheka...
  6. Wakusoma 12

    Yanga wakiclick button ya answer kujua matokeo yao na Al hilal calculator unasema Math error. Nini maana yake?

    Wakuu mambo ni magumu sana utopoloni moja haikai. Najua wakifungwa calculator inazima.
  7. another people

    Yanga kupita kwenda robo simpo tu

    Mi nawashangaa sana watu wanaosema YANGA kuvuka makundi ni ngumu wakati kama YANGA atamfunga Al Hilal kuanzia 3 bila basi hata kuombea hilal apoteze dhidi ya TP Mazembe ili aongoze kundi
  8. Malaika wa Misukosuko

    CAF wawe makini na Mechi za MC Alger vs TP Mazembe na Al Hilal vs Yanga, Sisemi sana ila waweke mitego yao kuna Timu itanasa

    Habarini wakuu, Mechi kati ya Mc Alger vs Tp Mazembe, Al Hilal vs Yanga Hizi mechi CAF waziangalie kwa jicho la ukaribu zaidi na la kijasusi zaidi wakitega mitego yao kuna Mtu atanaswa na ndo itakuwa mwisho wa Timu husika kwaherini.
  9. G

    Safari ya Yanga kuishia kwenye makundi?, Mc Alger na Al Hilal zitasonga mbele Robo fainali?

    Good Bye Yanga !! Mpaka mwakani. Njia pekee ya Yanga kushinda mechi zote zilizobaki 😃😃 Yani amfunge Al Hilal Nyumbani kwao na amfunge Mwarabu kwa Mkapa, Walichobakiza Yanga ni kukamilishe Ratiba
  10. Scars

    Full Time: Mc Algier 0-1 Al Hilal | CAF Champions | Disemba 14,2024

    CAFCL: Mc Algier 0-1 Al Hilal | CAF Champions Mechi inaanza muda huu kaa tayari....
  11. Mngoni asiyepiga gambe

    Naangalia Al Hilal na TP Mazembe hapa itoshe kusema Depotivo de Utopolo (Yanga SC) jiandaeni kumaliza wa mwisho kwenye kundi

    Kama kuna mtu aliwadanganya deportivo de utopolo kuwa Mazembe ameshuka kiwango basi mjiandae kushenyetwa nje ndani jamaa wanapeleka moto sio poa.
  12. Carasco Putin

    Shabiki Kindakindaki wa Al Hilal, leo tupo Uwanjani

    Tupo uwanjani leo shabiki kindakindaki wa Al hilal toka nizaliwe mm al hilal damu🔥🔥🔥 Forza Al HILAL Hat trick habib thalantha bin thiful نيتيوويوؤويتيتيتيتmwamnyeto🐸🐸🐸 Tanzania tunaiogopa SIMBA tu wengine wote GENGE la wahuni UBUNTU BOTHO PRIDE TABORA
  13. Vincenzo Jr

    FT: Young Africans SC 0 - 2 Al Hilal | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 26.11.2024 |

    🏆 #CAFCL ⚽️ Young Africans SC🆚Al Hilal 📆 26.11.2024 🏟 Benjamin Mkapa 🕖 10:00 Jioni Kikosi kinachoanza dhidi ya Al Hilal Dakika ya 5 Mpira Umeanza Dakika ya 10 Yanga SC wanakosa nafasi ya wazi Dakika 25 Yanga wanakosa nafasi ya wazi Dakika ya 29 Dube anakosa nafasi ya wazi anateleza hapa...
  14. F

    Wana Yanga hebu nunueni tiketi za mchezo wa Al Hilal

    Mashabiki na wanachama wa Yanga acheni kusubiri dezo, kanunueni tiketi za mchezo wa Al Hilal, nimeambiwa trend ya ununuzi wa tiketi sio nzuri na imebakia siku moja.
  15. Tajiri Tanzanite

    Juhudi zifanyike wapenyezewe Al Hilal au CAF hii issue ya madawa (Sindano za kuongeza nguvu)

    Hapo vip!! Kwa uzito wa jambo hili kutokana na madhara yake kwenye ulimwengu wa soko sio swala la kufumbia macho au kuliongelea na kuliacha hewani,hewani. Nafikiri tuchukue hatua zaidi ya kuwadokezea Al Hilal au CAF inakuwa vizuri ili hii tabia ya kihuni kwenye michezo ikomeshwe kwa adhabu...
  16. UMUGHAKA

    Al Hilal anapoenda kutukung'uta mechi ijayo, naomba mtakapomtimua Gamondi timueni na wachezaji wafuatao

    Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane ! Tarehe 26 ni siku ambayo timu yangu ya Yanga unakwenda Kucheza mechi ya kwanza ya michuano ya klabu Bingwa Afrika dhidi ya Al Hilal Omdurman,siku hii naelewa kabisa Yanga atafungwa si chini ya Goli 3 na ndiyo siku ambayo kocha Gamondi anaenda kutimuliwa...
  17. SAYVILLE

    Sijawahi kuielewa timu ya Al Hilal Omdurman ya Sudan

    Hili jambo nimeliwaza muda mrefu sana ila sijawahi kupata nafasi ya kulisema. Hii timu ya Al Hilal ya Sudan sijawahi kuielewa style yake ya uchezaji. NI timu ambayo ki-rank unaweza kusema ni moja ya timu bora Afrika na pia huko Sudan na katika ukanda huu wa Afrika Mashariki unaweza kusema ni...
  18. uhurumoja

    Kuna team huko Saudia Pro league inaitwa Al Hilal

    Hii team inashinda Kila mechi halafu inashinda kirahisi sana na ukijichanganya unakula hata nne au Tano
  19. Suley2019

    SI KWELI Willy Essomba Onana afunga hatrick kwenye mechi yake ya kwanza ya kitafiki akiwa na timu Al Hilal Benghaz

    Salaam Wadau wa Michezo, Kuna taarifa nimeiona inadai kuwa Willy Esomba Onana aliyekuwa mchezaji wa Simba SC msimu uliopita ameibuka shujaa kwa kufunga mabao matatu katika mchezo wake wa kwanza wa kirafiki. Taarifa hiyo nimeiona kwenye akaunti ya Instagram ya Aggy Simba na kwa SeekerTZ.
  20. L

    Mambo 15 niliyoyaona Simba vs Al Hilal leo

    1. Aishi Manula amebadilika na hasa anapowaiga Mussa Camara na Diarra kutembea na mpira, anastahili mkataba mpya 2. Kapombe jamani amepungua sana kama sio umakini wa Manula leo ingekuwa aibu 3. Valentine Nouma ni mchezaji wa kawaida sana, anachojua yeye ni mashuti tu lakini kukaba zero. 4...
Back
Top Bottom