Cristiano Ronaldo, nyota wa Al-Nassr, anamtafuta mzee mmoja aliyeonekana katika video akimtaja kwa hisia, huku akitokwa na machozi.
Katika video hiyo aliyo-post kwenye mtandao wa X (Twitter), Ronaldo ameomba kwa yeyote anayemfahamu mzee huyo amsaidie kumkutanisha naye.
Mzee huyo alionekana...