Hali inazidi kuwa tete katika mashariki ya kati na kwa Israel kufuatia taarifa kwamba wapiganaji wa Houthi wameanza mazungumzo ya kuwapatia wanamgambo wa Alshabaab silaha kama walizonazo wao ili kuongeza nguvu katika vita vya meli zinazopita bahari zilizo karibu nao zenye uhusiano na Israel na...
The US Treasury said Crown Bus Services has supported al-Shabaab’s logistical operations/FILE
ANTI-TERROR WAR
US Sanctions Crown Bus, Associates Over Al Shabaab Financing
OFAC named Kenya-based Faysal Yusuf Dini (Dini), working closely with Mohamed Jumale Ali Awale (Awale), as an al-Shabaab...
Kuna huyu mtangazaji wa Manara TV anayehoji watu kwa kifaransa, leo alimuhoji mchezaji wa ASEC Mimosas. Watu wamekuwa wanamsifia sana huyu dogo kisa ufahamu wake wa lugha ila ukiangalia inaonyesha hajawahi kupitia mafunzo yoyote ya uandishi wa habari kwa sababu kuna vitu vingi anavikosea ikiwemo...
Mpango wa Idara ya Nchi ya Marekani wa Tuzo kwa Haki (RFJ), ambao unasimamiwa na Huduma ya Usalama wa Kidiplomasia, unatoa zawadi ya hadi dola milioni 10 kwa habari zitakazowezesha kukamatwa au kuhukumiwa katika nchi yoyote kwa Mohamoud Abdi Aden na mtu mwingine yeyote ambaye alitenda, kujaribu...
Majeshi ya Marekani yamefanikiwa kumuua kiongozi muhimu wa kikundi cha kigaidi cha Al Shabaab nchini Somalia.
Kikundi hicho cha kigaidi kina mafungamano na kikundi cha kigaidi cha Al Qaeda ambaye kiongozi wake mkuu Bw. Osama bin Laden naye aliuawa nchini Pakistan na vikosi vya vya jeshi maalumu...
Wanamgambo wa Al-Shabaab wametajwa kuhusika katika vifo vya Watu 21 na kuharibu magari yaliyokuwa yamebeba chakula cha msaada katika shambulizi Mkoani Hiran Nchini Somalia.
Magari yalikuwa yakisafirisha chakula kutoka Jiji la Baladweyne kwenda Mji wa Mahas ambapo awali mashambuliazi yao yaliua...
Wote ni Mabingwa na Hodari wa kutopenda Kula Ndizi na Sambusa hiyohiyo kila Siku tu na hupendelea zaidi kubadilisha Menu (Menyu) za Kibaiolojia (Kisayansi).
Kundi la watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo wa al-Shabaab walitoa mhadhara wa saa mbili kwa abiria waliokuwa kwenye basi lililokuwa likielekea Mandera katika Mkoa wa Kaskazini Mashariki mwa Kenya, kulingana na ripoti za vyombo vya habari vya Kenya zikiwanukuu polisi.
Polisi walisema wanamgambo...
Kundi la Al Shabaab la Somalia limeshambulia kambi ya wanajeshi wa Umoja wa Afrika (AU) katika Mkoa wa Shabelle katikati mwa nchi hiyo, ikidaiwa raia watatu wamepoteza maisha katika mapigano hayo.
Mkazi mmoja anayeishi katika kijiji kilicho karibu na eneo la tukio, alisema baadaye aliona...
Jamaa wamepata mzuka na kulianzisha upya. Wanajilipua kwenye masoko na ndani ya kandamnasi, haya mafundisho ya kidini yataitesa dunia.
========
Somali military officers on a street in the capital Mogadishu on April 25, 2021. PHOTO | AFP
At least two people were killed and five wounded...
Kenya: KDF Kill 11 Al-Shabaab Militia in Somalia
14 JULY 2021
Nairobi News (Nairobi)
By Amina Wako
The Kenya Defence Forces (KDF) under the African Union Mission in Somalia (AMISOM) on Wednesday, July 14, 2021, announced it had killed 11 Al Shabaab militia in Kuday, Kismayo.
Confirming the...
Jinsi Kikundi cha Al Shabaab kinavyotengeneza fedha. Kinakusanya kodi sehemu nyingi kuliko Serikali ya Mogadishu, Somalia.
Wana mashushushu bandarini. Kila shehena zinapoingia, wao wanajulishwa. Mmiliki wa shehena hatoi mzigo bandarini mpaka Al Shabab walipwe chao.
Maeneo yote yanayoshikiliwa...
Nimearifiwa na mmoja wa wahanga kuwa katika kijiji cha Kitaya kilichopo katika Halmashauri ya Nanyamba huko Mtwara kuna hali tete inaendelea huko.
Kijiji kimevamiwa na watu wenye risasi za moto hali iliyopelekea Wananchi kukimbilia Porini.
Mpaka asubuhi hii risasi zilikuwa zinaendelea...
CHIMBUKO LA AL SHABAAB, VITA YA AL SHABAAB VS AHLUL SUNNA WAL JAMAA NA DHANA YA UGAIDI CHINI YA KIVULI CHA UISLAM
Naam Assalam Alaykum Warahmatullah Wabarakat, Katika nakala na machapisho yaliyopita nlieeleza kwa uchache dalili za kuenea kwa Ugaidi nchini Tanzania. Na pia kuna baadhi ya...
Watu hao wameuawa leo Machi 15, 2020 na wengine kadhaa kujeruhiwa katika mashambulio mawili yaliyohusisha mabomu, yanayodhaniwa kufanywa na Wanamgambo wa Al Shabaab katika Kaunti ya Garissa
Watu watatu waliuawa katika shambulio la kwanza ambapo gari la kubeba Wagonjwa lililokuwa likitoka...
Al Shabaab maana yake ni vijana wa kiume likiwa ni zao la Al Qaeda sasa hapa utaona jinsi wanavyofunzwa kambini na wanavyotawala. Pia utamsikia msemaji wao. Kwa kweli jamaa wanafanyiwa brainwashing mbaya sana na radicalization ya hali ya juu. BEWARE GUYS.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.