al shabab

Al-Shabab Football Club (Arabic: نادي الشباب‎) is a Saudi Arabian professional football club based in Riyadh. It was founded in 1947, and was at first named Shabab Al Riyadh. (شباب الرياض), but in 1967* was renamed Al Shabab.

View More On Wikipedia.org
  1. Ethiopia Yaanzisha mashambulizi ya Anga nchini Somalia kuwalenga Al Shabab

    Jeshi la anga la Ethiopia limefanya mashambulizi ya anga dhidi ya wanamgambo wa al-Shabab katika Mkoa wa Shabelle ya Kati nchini Somalia, Shirika la Fana Broadcasting Corporate liliripoti hapo jana (Ijumaa). Mashambulizi hayo ya anga yametokea baada ya kutiwa saini kwa mkataba wa usalama kati...
  2. Baada ya Ethiopia, Israel inataka kuitambua Somaliland kama nchi ili kupambana na Houthi wanaotaka kuungana na Al Shabab wa Somalia

    Somalia inapata ugumu baada ya mambo kuzidi kwenda Kombo! Wakati wako kwene vita ya maneno na Taifa lenye heshima kubwa Afrika kwa kutotawaliwa na wakoloni la Ethiopia, mtanange umegeuka nakua kilanga kikubwa dhidi ya Somalia hasa kwa wale wakereketwa wa “GREAT SOMALIA” baada ya Taifa dogo...
  3. N

    Binti wa jirani yetu aliwahi kuchukuliwa kwenda kusomeshwa kumbe anapelekwa kwenye mafunzo ya Ugaidi Al Shabab Kenya

    Story hii ni ya ukweli takribani miaka 7 sasa imetimia tangu tukio hilo litokee. Kiufupi ilikuwa hivi. Mama mzazi wa Binti ambaye alikua ni mjane kutokana na Hali duni ya maisha baada ya miaka mingi kufiwa na mume wake aliendelea kuishi kwa shida huku akipambana kutafuta chakula na kusomesha...
  4. Baada ya mauaji ya watu 21, Rais wa Somalia aapa kulitokomeza kundi la Al Shabab

    Baada ya shambulizi la risasi na mabomu lililoua Watu 21 na kujeruhi 117 katika hoteli Nchini Somalia, Rais wa taifa hilo, Hassan Sheikh Mohamud ameahidi vita kali ya kutokomeza aliouita ugaidi wa Kundi la Al Shabab. “Ninajua Wananchi wa Somalia wamechoshwa na rambirambi na maombolezo...
  5. Lamu: Takriban watu 6 wauawa na vijiji kuchomwa moto na wanamgambo wa Al Shabaab

    Takriban watu sita wameuawa na vijiji kuchomwa moto na watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo wa Al Shabab katika mji wa pwani wa Lamu nchini Kenya. --- Six people have been killed and homes torched in an attack Monday by suspected Al Shabaab militants in Kenya's coastal Lamu region that borders...
  6. Retired General Karangi aelezea jinsi Kenya ilivyoinyakua Kismayu kutoka kwa mikono ya Al Shabab

    Retired chief of the general staff, general Karangi ambaye ndiye alikuwa mkubwa wa majeshi 2012 wakati KDF iliitimua Al Shabab kutoka Kismayu aelezea planning iliyofanyika ili kuiwezesha Kenya kuchukua city hii kutoka kwa Al Shabab. City hii ya Kismayu ni muhimu maana ndio mji wa pili kwa ukubwa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…