alarm

An alarm device is a mechanism that gives an audible, visual or other kind of alarm signal to alert someone to a problem or condition that requires urgent attention.

View More On Wikipedia.org
  1. FUNDI CCTV CAMERA MWANZA , ELECTRIC FENCE, REMOTE GATE, ALARM SYSTEM MWANZA 0747274532

    Tunafunga CCTV camera, alarm systm, Electric Fence, Remote gates nk Tunafunga camera za ulinzi majumbani, maofisini, mashuleni, hospitali, migodini, mashambani nk. Tunaunga mifumo yote kwenye sjmu ya mkononi hivyo utaweza kuona matukio yote kwenye simu yako ukiwa popote pale. Tunafunga fensi...
  2. Mafundi Tiles, Rangi, CCTV na Fire Alarm wanicheki

    Kwa vijana wenzangu wenye kujishughulisha na fani za Ufundi Tiles/Marumaru Rangi CCTV, Fire alarm Mnitafute, kuna nafasi ya kupata tenda.
  3. Natafuta Alarm system ya gari yenye bei ya kawaida

    Namshukuru Mungu kwa neema zake nimehamia kwangu. Changamoto ni ka usafiri kangu kanalazwa nje! Nilikuwa naomba mwenye kujua bei ya "alarm system" ya kupiga makelele kwa saana mtu akiigusa anijuze! Tutafanya biashara na commission juu!
  4. Supplying, Installing, Testing and Commissioning of Fire Detection, Alarm and Suppression System at TIPER January, 2024

    Invitation To No: Tp/12/2023/Icb/W/028 Supplying, Installing, Testing And Commissioning Of Fire Detection, Alarm And Suppression System Tanzania International Petroleum Reserves Ltd (TIPER) is a hospitality storage facility for bulk fuel with its share divided equally between the Government...
  5. Alarm clock kwa ajili ya mtu mwenye ulemavu wa kusikia

    Ndugu na dada, Naomba kuuliza kama alarm za hivyo zipo hapa bongo au ni mpaka kuagiza nje. Kama zipo naomba kuelekezwa namna ya kuzipata and the price. Yeyote anayezifahamu kindly share. Sio lazima iwe specific kwa mtu asiyesikia ila necessarily ya kuweza kumstua kwa vibration ya kutosha or...
  6. T

    Naomba mwenye alarm ya kipindi Cha michezo rtd aniwekee hapa

    Kama Kuna member anaweza kunisaidia aniwekee hiyo sauti hapa jukwaani nitashukuru
  7. Spika Tulia Ackson asitisha Shughuli za Bunge kwa Dharura, awataka wabunge kutoka nje kwa haraka

    Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 11, Kikao cha 56, leo Juni 27, 2023. === UPDATE; Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Tulia Ackson amesitisha shughuli za Bunge asubuhi hii wakati Naibu Waziri wa Wizara ya Ujenzi na uchukuzi Mhandisi Godfrey M. Kasekenya...
  8. Ikiwa D, naendesha gari, inawaka R na kupiga alarm ya reverse, P indiketa ya kulia inawaka signal

    Wadau,engine ni 1NZ,nikiwa naendesha iko kwenye D,nikikanyaga breki inawaka taa ya R na alarm,pia taa ya indiketa ya kulia inawaka,ila safari inaendelea bila tatizo,je maji yameingia sehemu? Au waya zimegusana? Msaada tafadhali@jitumirabaminne..
  9. Baadhi ya mipango ya serikali inayo-trigger 'emergency alarm' na inayotakiwa kutupiwa jicho na jamii nzima

    Si aibu kusema kuwa watanzania tuko vulnerable linapokuja suala la ufisadi barani Afrika hasa kwa experience tunayopata awamu zote tunazopitia. Tunavyoenda ni ukweli ulio wazi kuwa hiki kipindi ni volatile na tunahitaji jamii nzima kuwa so sensitive na mipango ya serikali. Binafsi na nadhani...
  10. M

    Waislam tuachane na adhana tutumie alarm za simu zetu

    Unakijua king'ora? Sio kile cha zimamoto au msafara wa wakubwa. Nikiwa mdogo pale bandarini ikifika asubuhi nuda wa kazi kinapigwa mji mzima wa mzizima mnakisikia., Mchana pia lunch break kitapigwa. Na alasiri jumaliza kazi kitaoigwa Mwaka jana nikiwa unguja nilikisikia,tena chao kikali...
  11. K

    Utafiti binafsi: Ukitegesha alarm usiku lazima uamke muda mfupi kabla ya alarm kulia

    Hili nimelifanyia utafiti muda mrefu sana toka niko shule Kila nikitegesha alarm lazima nitashtuka usingizini kabla ya alarm haijaniamsha Utakuta nimeset alarm ilie saa 10 kamili usiku lakini cha ajabu kwenye saa 10 kasorobo ama saa tisa na dakika 55 nakuwa nimeshtuka kutoka usingizini
  12. D

    INAUZWA Door and window sensor alarm (alamu za madirisha na milango)

    Je unahitaji kuimarisha ulinzi wa nyumbani kwako kwa kuweka alarm lakini changamoto ni hela? Kama una madirisha ya aluminium, Je umewahi kuibiwa simu kupitia dirishani wakati wa usiku Je unajua wezi ni rahisi kwao kufungua madirisha ya aluminium au kuvunja vitasa na kuingia kupitia mlangoni na...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…