Albert Keneth Mangweha (November 16, 1982 - May 28, 2013) who used aliases; Ngwair, Mangwea, Mangwair, and Ngwea was a Tanzanian hip hop artist predominantly known for his freestyle punchlines and hardcore rap style.
Albert Mangwair
Kupitia mahojiano aliyofanya Skywalker Fredrick Bundala na Makaveli aliyekuwa mmiliki wa ghetto ambalo msanii mkali wa freestyle Ngwair akiishi amefunguka mengi kuhusiana na nyakati alizoishi na Ngwair kubwa zaidi ni lifestyle ya msanii.
Anafunguka Ngwair kuwa mtu wa Bata...
Nakupa homework; nitajie wimbo wa Ngwair akilia kuteswa na mapenzi. Nioneshe ngoma ya Albert Mangweha, akilalamika maisha yamempiga mpaka akakata tamaa. Ukipata, nitakwenda Kihonda, Morogoro, nikalale mwezi mzima juu ya kaburi lake.
Ngwair alifanya muziki wa maono yake. Alijiona katika jukwaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.