albert mangwair

Albert Keneth Mangweha (November 16, 1982 - May 28, 2013) who used aliases; Ngwair, Mangwea, Mangwair, and Ngwea was a Tanzanian hip hop artist predominantly known for his freestyle punchlines and hardcore rap style.

View More On Wikipedia.org
  1. Albert Mangwair

    Kwa ile flow yake,Swaga kwenye beat na aina yake ya kuumiza Collabo, Albert angeweza kufanana na rapper gani pale Marekani. Mimi naona T.I wewe je?
  2. Albert Mangwair kumiliki gari kabla ya ghetto unaona kabisa palikuwa na shida pahala

    Albert Mangwair Kupitia mahojiano aliyofanya Skywalker Fredrick Bundala na Makaveli aliyekuwa mmiliki wa ghetto ambalo msanii mkali wa freestyle Ngwair akiishi amefunguka mengi kuhusiana na nyakati alizoishi na Ngwair kubwa zaidi ni lifestyle ya msanii. Anafunguka Ngwair kuwa mtu wa Bata...
  3. No Agenda: Maisha ya Ngwair alijiona New York akiwa Bongoland

    Nakupa homework; nitajie wimbo wa Ngwair akilia kuteswa na mapenzi. Nioneshe ngoma ya Albert Mangweha, akilalamika maisha yamempiga mpaka akakata tamaa. Ukipata, nitakwenda Kihonda, Morogoro, nikalale mwezi mzima juu ya kaburi lake. Ngwair alifanya muziki wa maono yake. Alijiona katika jukwaa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…