albino

Albinism is the congenital absence of any pigmentation or colouration in an animal, plant, or person, resulting in white hair, feathers, scales and skin and pink eyes in mammals, birds, reptiles, amphibians and fish and invertebrates as well. Varied use and interpretation of the terms mean that written reports of albinistic animals can be difficult to verify. Albinism can reduce the survivability of an animal; for example, it has been suggested that albino alligators have an average survival span of only 24 hours due to the lack of protection from UV radiation and their lack of camouflage to avoid predators. It is a common misconception that all albino animals have characteristic pink or red eyes (resulting from the lack of pigment in the iris allowing the blood vessels of the retina to be visible), however this is not the case for some forms of albinism. Familiar albino animals include in-bred strains of laboratory animals (rats, mice and rabbits), but populations of naturally occurring albino animals exist in the wild, e.g. Mexican cave tetra. Albinism is a well-recognized phenomenon in molluscs, both in the shell and in the soft parts. It has been claimed by some, e.g. that "albinism" can occur for a number of reasons aside from inheritance, including genetic mutations, diet, living conditions, age, disease, or injury. However, this is contrary to definitions where the condition is inherited.
Oculocutaneous albinism (OCA) is a clearly defined set of seven types of genetic mutations which reduce or completely prevent the synthesis of eumelanin or pheomelanin, resulting in reduced pigmentation. Type I oculocutaneous albinism (OCA1a) is the form most commonly recognised as 'albino' as this results in a complete absence of melanin in the skin, hair/fur/feathers, and pink pupils, however this has led many to assume that all albinos are pure white with pink pupils, which is not the case.In plants, albinism is characterised by partial or complete loss of chlorophyll pigments and incomplete differentiation of chloroplast membranes. Albinism in plants interferes with photosynthesis, which can reduce survivability. Some plant variations may have white flowers or other parts. However, these plants are not totally devoid of chlorophyll. Terms associated with this phenomenon are "hypochromia" and "albiflora".

View More On Wikipedia.org
  1. The Watchman

    Mtu mwenye ulemavu (Albino) akutwa amefariki ndani, mlango ukiwa umefungwa kwa kufuli

    Wande Mbiti (38), mkazi wa Kitongoji cha Busalala, Kijiji cha Nhelegani, Kata ya Kizumbi, mkoani Shinyanga, mwenye ulemavu wa ngozi (albino), amekutwa amefariki dunia ndani ya nyumba aliyokuwa akiishi huku mlango wa nyumba hiyo ukiwa umefungwa kwa kufuli kwa nje. Tukio hilo limebainika jana...
  2. BARD AI

    Shahidi adai Padri Rwegoshora aliahidi kumpa V8 baba wa Mtoto Albino 'Asimwe'

    Upande wa Jamhuri katika kesi ya mauaji ya mtoto mwenye ualbino, Asimwe Novath (2) umewasilisha maelezo ya ushahidi katika hatua ya awali, ukieleza utakuwa na mashahidi 52 na vielelezo 37. Katika maelezo hayo ya ushahidi, mmoja wa mashahidi ameeleza mbinu iliyotumiwa na washtakiwa kumpora mtoto...
  3. Cute Wife

    Watuhumiwa wa mauaji ya Asimwe kizimbani

    Leo July 12, 2024 imeitwa kesi ya Watuhumiwa tisa wa mauaji ya Mtoto Asimwe Novart aliyekuwa na ualbino ambaye alichukuliwa nyumbani kwao Kamachumu May 30 mwaka huu 2024 na June 17, 2024 mwili wake ulikutwa kwenye kalavati akiwa ameuawa na kukatwa baadhi ya viungo vyake. Watuhumiwa hao tisa...
  4. JanguKamaJangu

    Mwakilishi wa wenye Ualbino asema "Je, Serikali inathamini Wananyama kuliko sisi wenye Ualbino?"

    Watu wenye ulemavu wa ngozi (Maalbino) wameitaka serikali kuweka sheria ya dharula itakayowalinda maalbino tofauti na kuendelea kutoa matamko ambayo hutolewa tu pale mauaji yanapotokea. Wakizungumza na waandishi leo juni kwa nyakati tofauti Juni 24, 2025 wamesema tangu Mwaka 2016 maalbino...
  5. D

    SoC04 Mimi ni Albino: Nilinde, nipiganie...

    Kwa miaka mingi sana Tanzania imekua ikipambana na watu wenye imani potofu juu ya watu wenye ualbino( albinism). Watu wanatakiwa kujua kwamba albino ni sawa na binadamu wengine ikiwa tu yeye amekosa au ana upungufu wa madini ya melanin, Albino ana haki sawa kama mtu mwingine mwenye ngozi ya...
  6. Mau Mau

    Ukimya wa Baraza la Maaskofu TEC juu Paroko na Mauaji ya Albino unaashiria nini?

    Sio kawaida Na hasa Kwa tukio gumu la kinyama Na kufedhehesha tena likimuhusisha anayetajwa kuwa ni Padre wa Kanisa Katoliki huko MKOANI Kagera. TAARIFA Mbao zimekuwa nyingi sana Kanisa linawajibika kuweka Sawa hali halisi ilivo. PIA SOMA - Kifo cha Asimwe Novath (Albino); Baba mzazi na Paroko...
  7. R

    Kwa hili la mtoto albino Kagera, mheshimiwa Rais weka saini adhabu ya kifo

    Siku zote huwa nawaonea huruma sana wafungwa wanaponyongwa ila kwa hili la mtoto albino aliyeuawa na kukatwa viungo huruma imenitoka. Mheshimiwa Rais wakithibitika mahakamani ukiletewa karatasi weka saini wanyongwe. Kama sehemu tu ya huruma yangu naomba wasinyongwe kwa kamba. Kiti cha umeme...
  8. L

    Waliomuua yule mtoto albino wahasiwe haraka sana, hawana sifa ya kuitwa binadamu

    Huyu mtoto hadi mmekatisha uhai wake amewakosea nini jamani, hili jambo kila ninapofanya shughuli zangu linanijia, nimevaa uhusika kuwa yule ni binti yangu amefanyiwa unyama ule, niko katika hali gani. Kweli nyie mliofanya unyama na ukatili kiasi hicho mnastahili kuwepo duniani kweli? Huyu...
  9. NALIA NGWENA

    UVCCM wapo busy kupambania mtandao wa "X" (zamani Twita) Ufungwe Lakini siyo kujitokeza kulaani, ulawiti na mauaji ya Albino

    Hapa JUZI tulisikia kiongozi mmoja aliingia kwenye tuhuma na kashfa za kulawiti mwanafunzi wa CHUO Lakini UVCCM hawakujitikeza na kulaani jambo Hilo. Tukasikia tena Mtoto kapotea na ghafla mwili wake umeokotwa ukiwa baadhi ya viungo vya mwili vimenyofolewa Cha ajabu UVCCM hawakujitokeza hata...
  10. Analogia Malenga

    Kifo cha mtoto albino kinataka amri ya Rais sio masikitiko ya Rais

    Akiwa kwenye Kongamano la Maendeleo ya Habari, Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha masikitiko kutokana na kifo cha mtoto mwenye ulemavu wa ngozi kule Kagera. Rais ametaka watu waliokuwa kwenye kongamano wasimame na kumuombea. Hata hivyo hakutoa kauli ya kimamlaka kutaka waliohusika wakamatwe...
  11. R

    Kufuta mauaji ya albino, ni kutokomeza kabisa Waganga wapiga ramli

    Salaam, Shalom!! Awamu ya Tatu, Ben Mkapa aliwateketeza wachuna ngozi bila huruma yoyote na huo UOVU ulikoma. Albino waliishi Kwa Amani kipindi Cha miaka iliyopita hivi karibuni, imeanza tena. Kwa sasa ninishuhudia mpishano usio wa kawaida wa Waganga wapiga ramli kwenye ofisi za wanasiasa...
  12. Blender

    Kwanini serikali haifanyi uchunguzi na kuchukua hatua dhidi ya mila hizi potofu?

    Yah habar ndio hio, wakati Dunia ikizidi kusonga mbele Kwa science na technology, tz 🇹🇿 Hali ni tofauti kabisa , Wao wanarudi zama za mawe (stone Age). Hii habari ime reportwa shinyanga mwaka 2023 July na BBC Swahili, Lakin hatukusikia tamko la serikali, la kufanya uchunguzi AU Hata kukemea...
  13. Roving Journalist

    Kyela Ibasa Festival yatoa msaada wa mafuta na miwani kwa wenye Ualbino

    Umoja wa Wazawa wa Wilaya ya Kyela Mkoani Mbeya, waishio ndani na nje ya wilaya hiyo Kyela Ibasa Festival, wametoa msaada wa mafuta ya kupakaa na miwani kwa ajili ya watu wenye Ualbino. Msaada huo umekabidhiwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Jamii, Vanessa Nyesyenge kwa niaba ya wanaibasa ambao kwa...
  14. D

    Nataka kuoa albino

    Weekend smart Wana JF Moja kati ya ndoto zangu Mimi ni kuoa albino,Hawa watu Huwa wananivutia sana Kila ninapowaona, tatizo tu huku mijini daslam hawaonekani. Kweli niliwahi kwenda kahama ila sikuambilia pia, leo hapa JF naomba kutangaza Rasmi Mimi DALALI MKUU nahitaji kuoa albino na kama...
  15. Chachu Ombara

    TANZIA Msanii Albino Fulani afariki dunia nchini Marekani

    Msanii wa Muziki na Mwanaharakati wa haki za Watu wenye Ulemavu wa Ngozi nchini, Babu Sikare maarufu kama Albino Fulani amefariki dunia. Habari hizo za msiba zimetolewa katika ukurasa wa Twitter wa MwanaFa. Pia soma > Mkasi - SO2E09 With Babu Sikare (Albino Fulani) -- Jina lake ni Babu Sikare...
  16. Roving Journalist

    Mwanza: Mwenyekiti wa CCM, Diwani, Afisa Mtendaji washikiliwa kwa tuhuma za mauaji kisa wizi wa mihogo

    David Shilime (Diwani), William Nengo (Mwenyekiti wa CCM Kijiji cha Ikoni B) na Tiluloza Alfonce (Afisa Mtendaji) wote wa Kata ya Buzilasoga Wilayani Sengerema ni kati ya watuhumiwa 14 wanaoshikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya Getruda Dotto mkazi wa kijiji hicho wakimtuhumu kwa wizi wa mihogo...
  17. N

    Siyo kila misemo ya kurukia,hakuna mbwa albino

    Haijawahi kuthibitishwa kuwepo na mbwa albino So unapokuwepo kwenye papatupapatu zako za kutukana na kudhalilisha watu ambazo ndizo zinakuweka mjini elewa hilo Siyo kila mtu wa kusema niite mbwa nimekaaa pale,wako mbwa wanene wenye kilo 800 ila hamna albino na mbwa wote wana uwezo wa kukaa...
  18. Roving Journalist

    Pundamilia ' Ndasiata' ualbino ameonekana Hifadhi ya Taifa ya Serengeti

    Pundamilia ' Ndasiata' ualbino ameonekana Hifadhi ya Taifa ya Serengeti mapema Februari mwaka huu. Hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la wanyama wenye rangi za kuangaza ambapo ualbino ndio sababu ya kawaida ya muonekano huo. Wakati, pumbamilia maarufu Tira ambaye pia alionekana Kenya na...
  19. sky soldier

    Kwanini kupata mtoto mwenye ulemavu wa akili, viungo, kipofu, bubu, kiziwi, n.k ni aibu na fedheha kwa wazazi wengi?

    Nasema hivi maana mambo ya aibu ndio huwa tuanakazania kuyaficha na ndivyo ilivyo kwa wazazi wenye hawa watoto huwa hawapendi watoto wao wenye ulemavu kujulikana ni watoto wao, wanawafungia majumbani huku wakijificha nyuma ya kivuli cha kuwalinda. yani mtoto anachukuliwa kama mzigo flani hivi...
  20. MK254

    Kule Tanzania wafukua Kaburi la Albino na Kutokomea na Mguu Mmoja wa Kulia

    Majirani mtaacha lini haya mambo, halafu dunia yote yapo kwenu tu, nyie pekee yenu ndio wenye sifa hizi za kusaka viungo vya albino. ========= Jeshi la Polisi mkoani Tanga, linawashikilia watu watatu wa familia moja kwa madai ya kufukua mwili wa kijana mwenye ualibino, Heri Kijangwa (45)...
Back
Top Bottom