ZOTE ZA AKILI.
"ZOTE ZA AKILI" ni project ama jina la Album iliyotoka Mwaka 2004, chini ya Usimamizi wa Akili the Brain ambae alikuwa ni mmliki , producer & msanii kutoka studio za " Akili Records " kwa usaindizi wa usambazaji wa kampuni inaitwa" F.K. Mitha & Sons Kinos Brothers Wananchi...
MFUMO WA UUZAJI WA ALBUM AMA KAZI ZA WASANII..
Wasanii wa Tanzania wana sababu nyingi sana za kwanini hawatoi album. Baadhi ya sababu kama kufa kwa mfumo wa uuzaji wa album uliokuwa ukifanywa na wahindi enzi za kanda za redio cassette na urudufuaji usio halali wa kazi zao unaofanywa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.