He won the Premier League 13 of his 21 seasons in charge including two three-peats.
He was a two-time champion of Europe.
Five FA Cups and four League Cups.
It's legendary former Manchester United manager Sir Alex Ferguson's birthday 👑
Habari za huzuni jioni hii, kutoka katika kitongoji cha Cheshire, Greater Manchester ni kuwa Lady Cathy Ferguson, mke wa Sir Alex Ferguson amefariki dunia.
Wawili hao walioana mwaka 1966 na wamedumu kwenye ndoa mpaka mauti yalipomfika bibie Lady Cathy akiwa na miaka 85.
Ameacha watoto watatu...
Ni miaka 10 rasmi tangu Sir Alex Ferguson (81) alipotangaza kustaafu kuifundisha Manchester United na kufundisha soka kwa jumla
Akiwa klabuni hapo alishinda mataji 13 ya Premier League, 5 (FA Cup), 4 (League Cup / Carabao), 2 Ligi ya Mabingwa, European Cup Winners' Cup, European Super Cup...
Unakumbuka nini ukisikia jina Djemba Djemba.
M Cameroon aliye lamba deal la kusajiliwa Manchester united na Alex Ferguson at his age of 21
Alisajiliwa akitokea Nandes ya ufaransa.
Alipo sign deal na Manchester united akaenda kununua magari matano Kwa mkupuo.
Inasemekana Sir Alex Ferguson...
.
Leo kazaliwa Legend wa United Andy Cole, una ambiwa uhamisho wake kuja United kutoka Newcastle ulisababisha bifu zito kati ya Alex Ferguson na kocha wa Newcastle Kevin Keagan [emoji23]
Ni stori ndefu lakini inaburudisha [emoji23]
Mwaka 1995 Andy Cole akiwa katoka kuifungia Newcastle goli 43...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.