NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Alexander Pastory Mnyeti ana doa la rushwa, matumizi mabaya ya madaraka, kukiuka misingi ya utawala bora na inapendekezwa na Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora ashtakiwe mahakamani.
Viashiria vya harufu ya rushwa na matumizi mabaya ya madaraka vinatajwa na...