ali bongo

Ali Bongo Ondimba (born Alain Bernard Bongo; 9 February 1959), sometimes known as Ali Bongo, is a Gabonese politician who is the third and current president of Gabon since October 2009. He is a member of the Gabonese Democratic Party.
Ali Bongo is the son of Omar Bongo, who was President of Gabon from 1967 until his death in 2009. During his father's presidency, he was Minister of Foreign Affairs from 1989 to 1991, represented Bongoville as a Deputy in the National Assembly from 1991 to 1999, and was Minister of Defense from 1999 to 2009. After his father's death, he won the 2009 Gabonese presidential election. He was reelected in 2016, in elections marred by numerous irregularities, arrests, human rights violations and post-election protests and violence.

View More On Wikipedia.org
  1. BARD AI

    Gabon Mtoto wa Ali Bongo ashtakiwa kwa Uhaini na Rushwa

    tua hiyo inakuja wiki 3 tangu aliyekuwa Rais wa Nchi hiyo, Ali Bongo kupinduliwa Kijeshi muda mfupi baada ya Tume ya Uchaguzi kumtangaza kushinda Urais kwa muhula mwingine Noureddin Bongo Valentin ambaye ni Mtoto mkubwa wa Ali Bongo na washirika wao wakiwemo Msemaji wa Rais na waliokuwa...
  2. badison

    Baada ya kuona video hii nimemdharau sana Ali Bongo Ondimba

    Wakuu nimetumiwa video moja ya aliyekuwa Raisi wa Gabon Ali Bongo kwa sasa kapinduliwa nikajua ukweli kwanini Nchi za kiafrika ni maskini sana na nimeshapata majibu kwanini na dokta, maprofesa waliosoma Nchi za ulaya hawana msaada wowote kwa wa Afrika wenzao kumbe tatizo ni imani zao za...
  3. Victoire

    Gabon: Jeshi lamtangaza Jen. Nguema kuwa Rais wa Mpito, alikuwa Kiongozi wa Kikosi cha Ulinzi wa Rais

    Haya kumekucha Gabon, Brice ambae ndo alikuwa mkuu wa ulinzi wa Rais ndo kawa Rais. Kwa uchunguzi wangu ,huyu Nguema ni binamu wa Ali Bongo. Na Ali Bongo alimpa kazi maalum ya kumuandaa mtoto wa kwanza wa Ali Bongo anaeitwa Valentin ili aje kuwa Rais. Naona Brice kaamua, no way kwanini aandae...
  4. mwanamwana

    Rais Ali Bongo wa Gabon aliasiliwa kutoka Nigeria, hakuwa mtoto wa damu wa Rais Omar Bongo

    Kumekuwa na utata mwingi kuhusu utaifa wa Rais wa Gabon wa sasa Ali Bongo Ondimba. Hapo awali wanasiasa nchini mwake walimtaka Rais huyo kuwasilisha kipimo cha DNA ili kuthibitisha kuwa kweli yeye ni mtoto wa marehemu Rais wa nchi hiyo Omar Bongo Ondimba. Inadaiwa Rais Ali Bongo Ondimba alikataa...
Back
Top Bottom