ali kibao atekwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mashamba Makubwa Nalima

    TBT: Msimamizi wa Tashriff asimulia mkasa mzima wa kibao, ataja jina la abiria waliyemshuku

    Sikiliza dakika 1:23 mpaka 1:28 ujue wahusika https://youtu.be/1sCeV1v0r3Y?si=6cBtNdH3js6ZhEvz
  2. Mashamba Makubwa Nalima

    TBT: Tashriff wafunguka mkasa mzima alivyotekwa Mzee Kibao. 'Tuliogopa walikuwa na silaha za moto'

  3. Manyanza

    Siku 100 Toka Mauaji Ali Kibao: Ukimya Watanda Juu ya Hatma ya Uchunguzi

    Leo Disemba 16, 2024, zinatimia siku 100 tangu aliyekuwa mwanasiasa mwandamizi wa chama cha upinzani cha CHADEMA, Ali Mohamed Kibao, alipotekwa Septemba 6, 2024, na mwili wake kupatikana Ununio, Dar es Salaam, Septemba 7, 2024, akiwa ameuwawa huku mwili wake ukiwa umeharibiwa vibaya. Tukio hilo...
  4. Erythrocyte

    John Mnyika: Kiongozi wa CHADEMA Mzee Ali Mohamed Kibao, adaiwa kushushwa kwenye Basi na kuchukuliwa na watu wasiyojulikana

    Hii ndio Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu, John Mnyika kupitia ukurasa wake rasmi wa Mtandao wa X (Twitter) --- John Mnyika kupitia ukurasa wake rasmi wa Mtandao wa X (Twitter) anaripoti: Nimetaarifiwa usiku huu kuwa Mzee Ali Mohamed Kibao Mtaalamu katika Sekretariati CHADEMA amechukuliwa na...
Back
Top Bottom