Ali Mufuruki was a Tanzanian businessman, author, founder and board member of several organisations. He is the founder of Infotech Investment Group, founding chairman of CEO Roundtable of Tanzania and Africa Leadership Initiative (ALI) East Africa, board chairman of Vodacom Tanzania and Wananchi Group Holdings, trustee of the Mandela Institute for Development Studies (MINDS) and co-author of the book Tanzania's Industrialisation Journey, 2016-2056.He passed away on 7th December 2019.
Kuna taarifa za msiba wa Alli Mafuruki. Hakuna taarifa zaidi zilizopatikana hadi sasa. Pumzika kwa Amani
====
Mwenyekiti na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Infotech Investment Group, Ali Mufuruki amefariki dunia leo
Enzi za uhai wake Mufuruki aliwahi kuwa Mkurugenzi Huru, Mwenyekiti wa Bodi...
Yupo vizuri sana
Anahoji kilimo kwanza kiliishia wapi.
Asema faida za benki zimepungua sana
Viwanda vya saruji kupata hasara ni ishara mbaya
Anasifia viongozi wa Africa wanaoenda nje kutafuta wawekezaji
Amani na raslimali sio viegezo pekee cha kuvutia mitaji
GDP ya Tanzania ni 5% ya mapato ya...
Mwenyekiti wa maofisa watendaji wakuu wa kampuni nchini (CEOrt), Ali Mufuruki ameishauri Serikali kushirikiana kikamilifu na wawekezaji binafsi ili dhana ya Tanzania ya viwanda iweze kufanikiwa.
Mufuruki aliyepata kuwa mwenyekiti wa Bodi ya Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.