ali mufuruki

Ali Mufuruki was a Tanzanian businessman, author, founder and board member of several organisations. He is the founder of Infotech Investment Group, founding chairman of CEO Roundtable of Tanzania and Africa Leadership Initiative (ALI) East Africa, board chairman of Vodacom Tanzania and Wananchi Group Holdings, trustee of the Mandela Institute for Development Studies (MINDS) and co-author of the book Tanzania's Industrialisation Journey, 2016-2056.He passed away on 7th December 2019.

View More On Wikipedia.org
  1. TANZIA: Ali Mufuruki afariki dunia Afrika Kusini. Aagwa katika Ukumbi wa JNICC. Kuzikwa Makaburi ya Kisutu, Dar

    Kuna taarifa za msiba wa Alli Mafuruki. Hakuna taarifa zaidi zilizopatikana hadi sasa. Pumzika kwa Amani ==== Mwenyekiti na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Infotech Investment Group, Ali Mufuruki amefariki dunia leo Enzi za uhai wake Mufuruki aliwahi kuwa Mkurugenzi Huru, Mwenyekiti wa Bodi...
  2. Ali Mufuruki on ITV: Kilimo kwanza kiliishia wapi? Viwanda vya Saruji kupata hasara si ishara nzuri

    Yupo vizuri sana Anahoji kilimo kwanza kiliishia wapi. Asema faida za benki zimepungua sana Viwanda vya saruji kupata hasara ni ishara mbaya Anasifia viongozi wa Africa wanaoenda nje kutafuta wawekezaji Amani na raslimali sio viegezo pekee cha kuvutia mitaji GDP ya Tanzania ni 5% ya mapato ya...
  3. Mufuruki aipa somo Serikali kuhusu Tanzania ya viwanda

    Mwenyekiti wa maofisa watendaji wakuu wa kampuni nchini (CEOrt), Ali Mufuruki ameishauri Serikali kushirikiana kikamilifu na wawekezaji binafsi ili dhana ya Tanzania ya viwanda iweze kufanikiwa. Mufuruki aliyepata kuwa mwenyekiti wa Bodi ya Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL)...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…