alien

  1. Deejay eXii

    TAMBARA: ALIEN: Covenant (2017)

    ▪️ Genre: Sci-fi, Horror ▪️ Date: 2017 ▪️ Rate: 7.1/10 (IMDb), 80% (Rotten Tomatoes) ▪️ Origin: USA ▪️ Time: 1h 59m SHORT STORY Katika siku za machafuko na utafiti wa anga za mbali, kundi la vijana wakoloni waanga wanapokea mwito wenye signals za dharura kutoka kituo cha anga kilichoachwa...
  2. Mhaya

    Waafrika wakimuona Alien, wanajua ni jini au mauzauza, kesho unawakuta kanisani na msikitini wakikemea

    Ukienda pale Senegal, kuna UFO ipo pale, alien walikuja nayo na kuiacha, hawajulikani walikwenda wapi. Alien hapa duniani wanatua popote pale si Marekani tu ila tatizo letu sisi, tukiwaona aliens tunasema ni majini, tunaanza kukemea na kusoma dua. Tatizo lipo hapo tu. Leo ukikutana na alien...
  3. Mhaya

    Kusoma mambo mbalimbali na kufatilia vitu vipya ni chanzo kikuu cha Maarifa

    Hapa duniani kuna madudu ya ajabu sana, tena sana, kuna maviumbe ambayo ukiyaona kwa mara ya kwanza utasema labda unaishi kwenye karne ya pili huko. Ili kwanza uyajue hayo yote, ndugu yangu jitahidi sana kutafuta maarifa. Unajua sisi Waafrika tunashindwa sehemu ndogo sana, tunashikilia sana...
  4. bahati93

    Alien corpses waonyeshwa

    It geting crazy Kwa mara ya kwanza kinachosemekana ni ALIEN ameonyeahwa kwa kamati ya bunge huko nchini Mexico. Am so excited, what a time, hapa bado mu USA aka baba lao aje na yeye kusema vyakee.
Back
Top Bottom