Nawasalimu kwajina lamuungano
Unataka alluminium & vioo..?
Hapa umepata
Njoo nikupendezeshee nyumba yako kwagarama nafuu kabisa
NATENGENEZA
_madirisha
_milango
_partition za maoficini
_partition za maduka ya dawa
_makabati ya chips
_kuweka vioo vya saloni
N.k
Napatikana Dar es Salaam
...
Habari za muda huu JF wadau wote, kama kichwa cha uzi kilivyo elekeza, nahitaji hiyo bidhaa tajwa, kwa mtu anaejua chimbo kwa kkoo au ni kiwandani anaweza kunichek katika namba hii 0653914963, size inayotakiwa ni mm 0.2
Nilijenga nyumba ya shambani maeneo ya Mkuranga ambayo nikiwa naenda kufanya kilimo nafikia pale. Tatizo limetokea nilipoweka madirisha ya alluminium yalikuja na zile tapes za kuzuia yasichunike ambazo zina nembo ya kampuni iliyotengeneza.
Nilipoyaweka fundi alishauri tusiyabandue mpaka siku ya...
Je Umechoka muonekano wa sofa zako na ungependa kuzipa muonekano wa tofauti na wakisasa zaidi?
SALE SALE SALE
Sofa la mmoja ni 30000
Sofa la wawili ni 44,000
Sofa la watatu ni 54,000
●Tuma kochi zako WhatsApp 0713691101 upate ushauri na sample za cover zilizopo
1: Hazipauki wala kuchuja...
Ndugu wapendwa mimi ni kijana mwenye uchu wa maendeleo,ninapatikana Dar es salaam nataka nifungue office ya kutengeneza alluminium,Mm si fundi bali nataka kuajiri mafundi na niwalipe kulingana na kazi.Napenda kujua vifaa vinavyohitajika,mtaji wa kuanzia,upatikanaji wake,soko la...
Habari!
Kwa mahitaji ya urembo wa mageti, madirisha, milango, balcon na vitanda usisite kutucheki tukuhudumie.
Pia tunafanya kazi yeyote ya casting.
Karibu bei zetu ni za kishindani na nafuu.
Tupo Mbeya mjini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.