Jiwe kubwa la almasi lenye uzito wa karati 2,492, ambalo linaaminika kuwa la pili kwa ukubwa kuwahi kupatikana duniani, limegunduliwa nchini Botswana.
Jiwe hili kubwa linaaminika kuwa ni kubwa zaidi kuwahi kupatikana tangu almasi ya Cullinan yenye uzito wa karati 3,106 ilipogunduliwa Afrika...
Almasi au diamonds ni aina ya vito vyenye thamani kubwa sana vinavyoundwa na kaboni iliyoshinikizwa kwa muda mrefu chini ya ardhi.
Almasi hutumiwa sana katika mapambo kama pete za kuchumbiana au za ndoa, mikufu, na masanduku ya vito. Pia, hutumiwa katika viwanda kama vile elektroniki kutokana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.