Nimeongea na OCS Igogo muda unaenda hakuna msaada. Mwenyekiti wa mtaa wa Bulale Trazo amepigwa risasi SAA 1.45. Mpaka sasa polisi hawaonekani. Ni Mwanza, Nyamagana kata ya Buhogwa.
========
TAARIFA RASMI:
Watu wasiojulikana wampiga risasi na kumuua M/Kiti wa Mtaa wa Bulale mkoani Mwanza, Ndg...