Watu wengi wanajenga nyumba lakini hawafaidi. Nyumba inakuwa ya moto inabidi ashinde bar aje amechelewa.
Wengine tangu wajenge hawajawahi kuingia ndani ya hizo nyumba.
Mwingine anamaliza kujenga tu anapata uhamisho anaishia kupanga wakati ananyumba sehemu.
Wengine wanajenga nyumba lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.