Ndugu jamaa na marafiki nadhani nyie nyote ni mashaidi ya kwamba Dunia hii si salama tena, migogoro ni mingi sana katika hii Dunia, na hii migogoro kwa kiasi kikubwa inasababishwa na ubinafsi (ego) ya sisi wanadamu.
Binafsi naona huyu bwana Donald trumps akiingia madarakani kuna huu mgogoro wa...