Legend wa Real Madrid, Marcelo amevunjiwa mkataba na klabu ya Fluminense miezi miwili kabla ya muda wake kumalizika, baada ya kutokea kutoelewana na kocha Mano Menezes jana Jumamosi.
Tukio hilo lilitokea wakati Menezes alipokuwa akipanga kumuingiza Marcelo uwanjani katika dakika za mwisho za...