amnesty international

  1. M

    Amnesty International yasema Vikundi vyenye silaha vinavyofadhiliwa na Rwanda nchini DR Congo vinatumia silaha za maangamizi ya halaiki

    DR Congo: Rwandan-backed armed group and Congolese army must stop using explosive weapons in densely populated areas - Amnesty International FOR IMMEDIATE RELEASE Inaccurate explosive weapons with wide area effects used in densely populated areas more than 150 times in a seven-month period...
  2. M

    Shirika la haki za binadamu la Amnesty International latoa ripoti kuwa Israel inafanya Genocide huko Gaza

    Katika ripoti waliyoitoa juzi, shirika la haki za binadamu la Amnesty International limeeleza kuwa kuna ushahidi mwingi wa kuwa Inachokifanya Israel huko Gaza ni mauaji ya Kimbari (Genocide). Wakieleza kuwa kwa mujibu wa makubaliano ya kimataifa, kosa la genocide linahusisha, mauji, kutenda...
  3. BARD AI

    Amnesty International: Tanzania End mass arrests and arbitrary detentions of political opposition

    The Tanzanian authorities must urgently halt the mass arrests and arbitrary detention of government critics, Amnesty International said today, as intimidation of members of the political opposition intensifies in the run-up to local government elections in December and the general election in...
  4. BARD AI

    Ripoti Amnesty International: Utekelezaji wa Adhabu ya Kifo umeongezeka kwa 31% Duniani

    Ripoti mpya ya Shirika la Amnesty International imeonesha Uhai wa Watu 1,153 ulikatishwa mwaka 2023 kutokana na kuhukumiwa adhabu ya Kifo ikiwa ni ongezeko la Watu 270 (31%) kutoka Watu 883 waliouawa mwaka 2022 Kwa mujibu wa Ripoti, idadi hiyo ni kubwa zaidi kwa kipindi cha takriban miaka 8...
  5. Stephano Mgendanyi

    Amnesty International Siyo Mahakama ya Tanzania

    Amnesty International Siyo Mahakama ya Tanzania Siku chache baada ya kukamatwa kwa Wakili Boniface Mwabukusi, Mpaluka Nyagali na Dk Wilbroad Slaa, Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Damas Ndumbaro, ameonya mashirika ya kimataifa likiwemo Amnesty International, akiyataka kuacha kuingilia mambo ya...
  6. Sildenafil Citrate

    Amnesty International: Mamlaka ya Tanzania iwaachie mara moja bila Masharti Wakosoaji wa Mkataba wa DP World inaowashikilia

    Mamlaka ya Tanzania inapaswa kuwaachilia mara moja na bila masharti Willibrod Slaa, aliyekuwa mbunge na Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Boniface Mwabukusi, mwanasheria na mwanaharakati, na Mdude Nyagali, mwanaharakati wa kisiasa, ambao wote walikamatwa kati ya 12 na 13 Agosti kwa kosa la...
  7. U

    Amnesty International: The Detained critics of Dubai Port deal in Tanzania must be immediately and unconditionally released

    Amnesty International August 14, 2023 The Tanzanian authorities must immediately and unconditionally release Willibrod Slaa, former parliamentarian and Tanzanian Ambassador to Sweden, Boniface Mwabukusi, a lawyer and activist, and Mdude Nyagali, a political activist, all of whom were arrested...
  8. BARD AI

    Ripoti Amnesty International: Serikali ilitumia nguvu kubwa kuwaondoa Wamasai Loliondo

    Shirika la kutetea haki za Binadamu la Amnesty International limelaani mamlaka nchini Tanzania kwa kuwaondoa kwa nguvu watu wa jamii ya kiasili ya Kimasai kutoka katika ardhi ya mababu zao ya Ngorongoro. Shirika hilo la kutetea haki za binadamu limesema Juni 2022, vikosi vya ulinzi na usalama...
  9. E

    Wanawake wanaonyanyaswa kisiasa na wanaume

    Halima mdee na wenzie 18, ni wanawake wanao nyanyaswa na wanaume kisiasa, hawa wanawake kuna genge la wanaume limekomaa kuwanyanyasa na kuwadhalilisha kisiasa. Hawa wanaume wanaofungua mikesi kila siku na kupeleka malalamiko isiyokuwa na maana bungeni sio waathirika na hatakama halima na...
  10. beth

    Ripoti: Watu zaidi ya 500 wameuawa Niger kuanzia Januari hadi Julai

    Shirika la Haki za binadamu la Amnesty limesema mashambulizi yameongezeka Magharibi mwa Niger tangu mwaka 2021 kuanza, huku idadi ya Watoto wanaolengwa ikiongezeka Watu zaidi ya 500 wamepoteza maisha katika Mkoa wa Tillaberi ambao unapakana na Nchi za Mali na Burkina Faso kuanzia Januari 01...
  11. Informer

    Amnesty International: Tanzania must provide evidence to back-up charges or release political opposition leader

    4 August 2021 Tanzanian authorities must promptly provide evidence to substantiate charges against opposition leader Freeman Mbowe, or else release him, said Amnesty International ahead of his appearance in a Dar es Salaam court tomorrow. At the time of releasing this statement, police had on 3...
  12. M

    #COVID19 Amnesty International wanajaribu kuishinikiza Tanzania kununua chanjo ya Covid-19

    Ukitembelea tovuti ya Amnesty International ukurasa wa Tanzania utakuta wamebandika andiko wakitaka kamati iliyoundwa ya corona itumike kuhakikisha kuwa Watanzania wanachanjwa chanjo ya corona. Kinachonishangaza ni kuwa mataifa ya nje yanaongeza sana shinikizo kwa mama kuhusu corona. Wanaingia...
  13. Sam Gidori

    Misri yatekeleza adhabu ya kifo kwa watu 11 baada ya kukutwa na hatia ya mauaji

    Mamlaka nchini Misri zimetekeleza adhabu ya kifo watu 11 siku ya Jumanne baada ya kuwakuta na hatia ya mauaji, chanzo kimoja ndani ya vyombo vya usalama vya Misri kimeiambia Shirika la Habari la AFP kwa sharti la kutotajwa jina. Adhabu hiyo ya kifo imetekelezwa katika gereza la Borg al-Arab...
Back
Top Bottom