amri kiemba

Amri Kiemba Ramadhan is a retired Tanzanian footballer who plays club football for Simba and international football Tanzania.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Amri Kiemba angalia gemu ya Coastal vs Azam sasa hiv uone kama kweli Azam wataweza kucheza na Simba hiyo February 24

    Azam hawajui hata wachezeje hapa Tanga vs Coastal union, sioni mipango yoyote ya wao kupata goli hapa, they are playing as if they have forced to play, hawa msije kusema Simba wamebebwa maana uwanja mzima namuona Fei na Nurdin t yule mmanga aliyetoka Singida Black stars. Butua butua nyingiiiii
  2. M

    Hata mkimtumia Amri Kiemba haiondoi ukweli kuwa jana mlipanga matokeo, shame on you

    Mechi imechezwa jana na mjadala ni kuhusu gemu ya jana, leo Kiemba anabadilisha mada eti hata Simba wana timu zao, timu gani imecheza na simba kukawa na mchekea? Kiemba ameibuka akidai Simba inaachiliwa na Azam? Kuna watu wajinga sana kwenye media zetu halafu wamepata platform ya kupiga porojo tu.
  3. mdukuzi

    Amri Kiemba wewe ni superstar hutakiwi kuishi Kigogo

    Kuna maeneo Dar es salaam ukiishi unajishushia heshima yako tu, Bora ukakae Kibaha au Bagamoyo ijulikane moja. Nani anapenda kukalia Kigogo, hakuna bali hali ngumu ya uchumi inalazimisha watu kuishi maeneo yasiyo na hadhi. Hakuna mtu makini anayekalia Kigogo au Mburahati Nimeshangaa sana...
  4. King Leon 1

    Alichoandika Amri Kiemba kwa Msemaji wa Simba Ahmed Ali juu ya Lameck Lawi

    Mwanamichezo mstaafu na mchambuzi wa michezo Amri Kiemba ameandika maoni ambayo yamenifanya niwaze na kukaa chini kutafakari juu ya kauli na maneno ya msemaji ambayo kila siku yanazidi kushangaza na kumshushia tu Professional wake. AMRI KIEMBA ANAANDIKA: Kuna vitu unaweza kuviangalia halafu...
Back
Top Bottom