Wakuu Salama!
Nimeshangazwa na hii taarifa yani mshikaji kampiga kisu mwezie kisa alidhani ni shetani. Mhhh hii sasa inatisha sana.
====================
Mwanamume mmoja wa New Orleans Nchini Marekani aitwae Jerry Gelpi aliyedai kuwa yeye ni Mwana wa Mungu, amehukumiwa kifungo cha maisha jela...
Safi wewe mwanaume wa huko nchini Indonesia kwani hata Mimi GENTAMYCINE huwa Nakerwa mno na maswali ya kikuda na ya kijinga kijinga kama hilo uliloulizwa na ukaamua kabisa kumdedisha mtu (Jirani yako) huyo.
Mtu hunilishi, hunivalishi na wala hujachangia chochote katika maisha yangu na ada zangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.