Wazee wivu wa hivi kwa dada zenu mnatoa wapi?
=====
Jeshi la Polisi limemkamata Festo Francis Makambula (34) Mkulima na Mkazi wa Kijiji cha Mululu Wilaya ya kipolisi Ruhembe mkoani Morogoro kwa tuhuma ya kumuua Rashid Bandei Kiupi (49) mlinzi wa kampuni ya Stigmatin.
Kamanda wa Polisi Mkoa...