Kwa aliyekuwa anasikiliza maongezi yenu leo katika PB ni ukweli umewekwa wazi, kwamba watoto wanaosoma katika shule za "Private' ni asilimia 1 na point tu ya wanafunzi wote wa Tanzania.
Twaweza wameshafanya tafiti na hata hakuna mwenye akili timamu ambae atapinga.
Narudia na kusisitiza kuwa...