anayeuza

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. L

    Anayeuza line ya safaricom

    Natafuta line ya safaricom ambayo inafanya kazi upande wa mpesa hata kama imewahi kuungwa paypal. Mwenye nayo akiwa dar anauza naomba ani PM
  2. Championship

    Anayeuza jezi za Mamelodi Sundowns ajitokeze tuzinunue sisi mashabiki

    Kuelekea siku ya mchezo wetu hapa Dar, tunaomba mwenye jezi za timu yetu atupe location tuje kuzinunua. Tunaenda kuujaza uwanja wa Mkapa.
  3. Meneja Wa Makampuni

    Anayeuza bidhaa nje hawezi kukosa dollar: Niseme tu ukweli dollar haiwezi kupatikana bila kuzalisha bidhaa za kuuza nchi za nje (Balance of Trade)

    Mimi binafsi sina hakika kama dollar ni tatizo la dunia nzima. Kwamba tukilima mahindi mengi tukauza nchi za nje hatuwezi pata hizo dollar? Kwamba tukilima kahawa kwa wingi tukauza nje ya nchi hatuwezi pata hizo dollar? Kwamba tukilima korosho kwa wingi tukauza nje ya nchi hatuwezi pata hizo...
  4. Rwetembula Hassan Jumah

    Makubwa(Kijana anayetrend Mitandaoni kwa kuuza Condom Mtaa kwa mtaa

    Hii Nchi ngumu sana ... nauliza hivi kondom zinarusiwa kuuzwa hadharani? Kama anavyofanya kijana huyu. Doooh
  5. DR HAYA LAND

    Natafuta Mtu anayeuza vitu vya ndani used

    Natafuta Mtu anayeuza vitu vya ndani used kwa Bei nzuri Aje pesa hipo Mfuko wa Shati Ahasanteni. Gesi Godoro Nk aje nipo DSM Temeke
  6. MTV MBONGO

    Anayeuza kiwanja/nyumba moja kwa Watu tofauti afungwe

    Migogoro hii imekuwa mingi, mbona sisikii wakifungwa? Wengine ni familia moja wanakula dili, documents zinapigwa kopi kisha kila mtu anamtafuta mjinga wake. Wamezidi kuongezeka, ziundwe sheria maalum kwa ajili yao
Back
Top Bottom