The Closure of EFD Machines and its Impact on Tanzanian Taxpayers
The Tanzania Revenue Authority (TRA) holds a vital role in our nation's progress, tasked with the essential duty of collecting and accounting for government revenue through taxes. This responsibility, however, should be executed...
anganyikalawsocieties(tls)
efd mashine
ministry for finance
tanzania 2050
tanzania legal system
tanzania revenue authority
tax administration institute
tax administration system
tra
https://youtu.be/m9WGFYVzCvU
Fuatilia yatakayojiri kwenye mkutano wa Rais wa TLS, Boniface Mwabukusi kwenye mkutano wake na waandishi wa habari, leo saa 4:00 asubuhi.
Mwabukusi anazunguzia suala la wamasai kuondolewa kwenye eneo lao kwa nguvu, na serikali imeondoa huduma zote za msingi kwao...
Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), leo Julai 20, 2024 kimeendesha mdahalo wa wagombea urais wa chama hicho pamoja na wagombea wa Chama cha Mawakili Vijana (TYL).
Katika mdahalo huo ambao umeendeshwa na Mwandishi wa Habari wa muda mrefu, Jenerali Ulimwengu, wagombea wamepata fursa ya kunadi...
Unapopata muda pitia pitia page za Law societies of Kenya na Pia Tanganyika Law Societies Utaona utofauti mkubwa sana wa hizi taasisi kwenye kufanya kazi. Taasisi moja ni kama tawi la Chama tawala huku taasisi nyingine ikionekana inasimama na wananchi kwa kila jambo.
Law Societies Of Kenya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.