Mh Rais, mimi ni raia wa Tanzania na ni mwananchi wako mwema.
Naomba kwa masikitiko makubwa tena makubwa nikujulishe tu ya kuwa:
Juzi nilipigiwa simu na Mkuu wa Wilaya ya Lindi akinijulisha kuhusu KIFO cha mwanafunzi ANGEL HONEST KESSY.
Kwanza nilishangaaa kuona Mkuu wa Wilaya akinipa taarifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.