angela kairuki

Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (born 10 September 1976) is a Tanzanian politician belonging to the ruling Chama Cha Mapinduzi. On October 2, 2022 she has been appointed as a Minister in Presidents Offfice Region Administration and Local Government (PoRALG). In her last cabinet appointment she was the Minister of State in the President's Office. She previously served as Minister of Mining and the Deputy Minister for Lands, Housing and Human Settlement as well as Constitutional and Legal Affairs. Prior to joining politics, she worked as a lawyer in both public and private sectors.

View More On Wikipedia.org
  1. dr namugari

    Je angela kairuki hatakuwa mbunge tena baada ya kuteuliwa kuwa mshauri wa Rais

    Nimeona panga panga ya baraza la Mawaziri Kwa kairuki kutenguliwa na kupelekwa kuwa mshauri wa rais ikulu Sasa nauliz a nafsi yake ya ubunge wa kuteuliwa itakuwa pia umepoteza Lucas mwashamba hv bado hajateuliwa
  2. Heparin

    Halmashauri ya Longido yaipa familia ya Rostam Aziz mapori 3 kwa uwekezaji wa Carbon credit kwa miaka 15

    Halmashauri ya Longido imeipa familia ya Rostam Aziz mapori 3 kwa uwekezaji wa Carbon credit wa miaka 15 kwa malipo ya Tsh. Milioni 10 kwa kila pori kwa mwaka. Mkataba huo umesaniwa na Akram Azizi ambaye ni Director wa kampuni iliyoingia mkataba huo ya Kilombero North Safaris. Marejeo na...
  3. Roving Journalist

    Arusha: Prof. Kitila na Angela Kairuki kuongoza Kongamano la Uwekezaji katika Sekta ya Utalii na Ukarimu

    Kufuatia agizo la Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alilolitoa Aprili 4, 2024 akiwaapisha viongozi mbalimbali alitoa maelekezo mahususi kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, kuhusu kuhamasisha uwekezaji katika sekta ya utalii kwa kushughulikia changamoto ya upatikanaji wa...
  4. Analogia Malenga

    Angela Kairuki amuwakilisha Dkt. Mpango kwenye mkutano wa TAWIRI

    Wanajamvi, Makamu wa Rais, Dkt. Phillip Mpango alikuwa awe mgeni rasmi wa mkutano wa TAWIRI unaofanyika Dodoma, hata hivyo amewakilishwa na Angella Kairuki. https://www.jamiiforums.com/threads/dkt-philip-mpango-anatarajiwa-kuwa-mgeni-rasmi-wa-mkutano-wa-tawiri-dec-6-8.2164385/
  5. D

    DOKEZO Waziri Angela Kairuki hili la Kilwa litakuondoa madarakani Rais Samia akijua

    Rais Samia Suluhu Hassan amejipambanua kuwa ni msikivu kwa watu anaowaongoza. Samia amerejesha uongozi shirikishi. Kwamba unapotaka kuwaletea maendeleo wananchi basi uwashirikishe Ili kujua nini kipaumbele chao. Usilazimishe kuwajengea daraja kumbe shida yao ni kisima cha maji nakadhalika. Sasa...
Back
Top Bottom