angellah kairuki

Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (born 10 September 1976) is a Tanzanian politician belonging to the ruling Chama Cha Mapinduzi. On October 2, 2022 she has been appointed as a Minister in Presidents Offfice Region Administration and Local Government (PoRALG). In her last cabinet appointment she was the Minister of State in the President's Office. She previously served as Minister of Mining and the Deputy Minister for Lands, Housing and Human Settlement as well as Constitutional and Legal Affairs. Prior to joining politics, she worked as a lawyer in both public and private sectors.

View More On Wikipedia.org
  1. Pfizer

    Angellah Kairuki: Tanzania imepata fursa ya kuwa Mwenyeji wa Kongamano la Pili la Shirika la Umoja wa Mataifa la Utalii Duniani (UN )

    Waziri wa Maliasili na Utalii,Mhe. Angellah Kairuki (Mb) amesema Tanzania imepata fursa ya kuwa Mwenyeji wa Kongamano la Pili la Shirika la Umoja wa Mataifa la Utalii Duniani (UN ),Kanda ya Afrika kuhusu utalii wa vyakula vya asili litakalofanyika mwaka 2025. Ameyasema hayo leo jijini Victoria...
  2. B

    AWLN and Stakeholders Equality Forum Stakeholders to Galvanize Commitment, Financing and Accountability for Women’s Economic Justice and Rights

    Hon. Riziki Pembe Juma, Minister of Community Development, Gender, Elderly and Children Zanzibar. The African Women Leaders Network (AWLN), in collaboration with the Government of the United Republic of Tanzania and UN Women, has convened the regional meeting to reflect on progress, galvanize...
  3. Roving Journalist

    Angellah Kairuki: Tanzania tunapoteza takribani eneo la misitu hekta 469,000 kila Mwaka. Upandaji wa miti ya Mianzi utaleta tija

    Waziri wa Maliasili na Utalii, Angellah Kairuki amesema hayo wakati akitoa Hotuba katika Uzinduzi wa Mkakati wa Kitaifa wa Mianzi (Bambos) kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Chuo Cha Utalii Dar es Salaam, leo Februari 19, 2024. Amesema “Natambua kwa takwimu za sasa, Tanzania tunapoteza takribani eneo...
  4. cupvich

    SoC03 Nchi ya kusadikika ambayo kila mwalimu wa kitanzania anaitamani

    "Baba Wande amka unachelewa kazini" ilisikika sauti ya Mke wa mwalimu Matinyi ambaye ni mwalimu wa somo la hisabati katika shule ya sekondari MAPWE. Kwa haraka mwalimu Matinyi aliangalia saa yake na kugundua kuwa ni saa kumi na moja na dakika kumi alfajiri,alikumbuka kuwa yuko zamu kwa wiki...
  5. Lady Whistledown

    Simiyu: Kairuki aagiza uchunguzi wa matumizi ya Tsh. Milioni 470 zilizoisha kabla ya mradi kukamilika

    Waziri wa TAMISEMI, Angellah Kairuki, ameagiza TAKUKURU kuchunguza matumizi ya shilingi milioni 470, zilizotolewa na serikali kujenga shule mpya ya Sekondari Mwanduitinje, iliyopo jimbo la kisesa wilaya ya Meatu, ambapo fedha hizo zimeisha kabla ya mradi kumalizika ujenzi wake. Waziri Kairuki...
Back
Top Bottom