-Mbunge Mavunde atangaza zawadi nono za washindi
-Anuia kuendeleza na kuvikuza vipaji vya Vijana Dodoma
-GSM Water na Asas Dairies wanogesha mashindano kwa ufadhili
Dodoma
Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Mh. Anthony Mavunde leo amezindua rasmi ya Ndondo Cup Dodoma 2024 ambayo yanaratibiwa na...