Kenya kunaweza kuibuka machafuko mengine kutokana na miili ya watu kuokotwa kila sehemu huku sehemu Mukuru ikionesha kuwa na idadi kubwa ya maiti zilizofungwa kwenye viroba kwa wingi vikiwa kwenye bonde ambalo sio mbali na kituo cha polisi.
Maeneo mukuru yapo karibu na bonde ambalo ndio sehemu...
Vijana walioandamana (Gen Z) wakutwa wametupwa kwenye viroba wakiwa wameuawa kwa kuchinjwa kama nyama
Hali ya usalama kwa vijana walionekana Kenya inazidi kuhatarisha huku kukiwa na ongezeko la mauaji kwa vijana walioandamana kali ikiwa ni sehemu ya wanaodhani ni kulipa kisasi cha Rais wao...
Inadaiwa kuwa picha hii inamuonesha Mbunge wa Kaunti ya Tongaren Kenya, John Murumba Chikati akiwa amevamiwa na kushambuliwa na wananchi baada ya kupigia kura ya ndiyo Muswada mpya wa Sheria ya fedha.
Maandamano ya vijana wa Kenya ya kupinga mswada wa sheria ya kodi 2024/2025 yaliyanza kwa amani, na baadaye yameishia kwenye maafa. Lakini inaelezwa kuwa chanzo ni baada ya Polisi kumwua kijana asiye na kosa, na hivyo kuamsha hasira za waandamanaji.
Vitendo zaidi vya uhalifu vimefanywa na...
Mahakama Kuu yaiamuru serikali kusitisha mara moja zoezi lake la kupeleka wanaeshi mtaani ili kutuliza maandano.
Hili limekuja baada ya Ikulu kutoa taarifa kuwa Rais Ruto amekataa kusaini Muswada wa Fedha na kuurudisha Bungeni.
Mahakama pia imeamuru Usalama wa Taifa Kenya pamoja na Polisi...
Rais Ruto anatarajiwa kulihutubia taifa muda wowote kuanzia sasa. Hii limekuja baada ya Rais Ruto kukataa kusaini Muswada wa Fedha na kuurudisha Bungeni. Usikae mbali kufuatilia updates zaidi
https://www.youtube.com/watch?v=4xsmE0ko9jw
Ruto atoa salamu za pole kwa waandamaji wote waliopoteza...
Rais Ruto amegoma kusaini Muswada wa Fedha na kuurudisha Bungeni. Hili limetokea baada ya maandamano yalikuwa yakiongozwa na Gen Z kufanyika zaidi ya wiki nchini humo. Ikulu imeripoti kwamba Rais Ruto anatarajia kuurudisha Mswada huo Bungeni kabla ya Bunge kuvunjwa baadaye leo.
Rais Ruto...
Vijana mumeitikisa nchi ikatikisika, mumenikumbusha enzi zetu wakati tulikua tunapigania demokrasia ya vyama viwili, na pia enzi za katiba mpya, ni faraja sana kujua nchi bado iko salama na kwamba hatokuja chizi yeyote na kuharibu tuliyoyapigania, na kwamba mkiitwa mnaitika na kujitokeza nchi...
Waandamanaji Kenya wamechoma mahakama ya ya Rufaa.
Yaani wameamua kushambulia mihimili yote kuanzia Serikali, Bunge na sasa mahakama
Inatisha.
Pia soma===> News Alert: - Rais Ruto (kuhusu Maandamano): Ni uhaini! Tutawashughulikia
Several people have been shot in a fierce clash between anti-riot police officers and protesters opposing the Finance Bill 2024 in Nairobi.
Police were forced to open fire after the protesters began marching towards Parliament where lawmakers were voting to pass the controversial Bill.
Source...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.