anti-finance bill protests

The Kenya Finance Bill protests, known by the movement's hashtag #RejectFinanceBill2024, are a series of ongoing decentralized mass protests in Kenya against a proposed tax increase by the Government of Kenya in Parliament. It is being largely led by Gen Z Kenyans. The protests aim to put pressure on lawmakers and members of the Parliament of Kenya to reject the Kenya Finance Bill 2024. These demonstrations were primarily fueled by anger over the rising cost of living and growing taxes but have since morphed into calls for the resignation of the current president William Ruto Lawmakers are expected to meet on June 25 to vote on proposed changes to the bill. Meanwhile, the protesters have called for a nationwide strike in civil disobedience on the same day.
The movement escalated on June 20, with protests reported nationwide in Nairobi, Eldoret, Garissa, Isiolo, Kisumu, Nakuru, Narok, Nyeri, Uasin Gishu, and Bungoma. Security forces were deployed to contain the protests, using water cannons and tear gas, while reports also indicated the use of live ammunition. Clashes resulted in at least two protesters killed and more than 200 injured. Human rights advocates claimed that Kenyan police arrested over 100 protesters. There have also been reports on abductions of citizens voicing their concerns online.

View More On Wikipedia.org
  1. Kaka yake shetani

    Kituo cha polisi Mukuru Kenya chashutumiwa kufahamu uwepo wa miili ya watu iliyokutwa nyuma ya bonde

    Kenya kunaweza kuibuka machafuko mengine kutokana na miili ya watu kuokotwa kila sehemu huku sehemu Mukuru ikionesha kuwa na idadi kubwa ya maiti zilizofungwa kwenye viroba kwa wingi vikiwa kwenye bonde ambalo sio mbali na kituo cha polisi. Maeneo mukuru yapo karibu na bonde ambalo ndio sehemu...
  2. toriyama

    Vijana walioandamana (Gen Z) wakutwa wametupwa kwenye viroba wakiwa wameuawa kwa kuchinjwa kama nyama

    Vijana walioandamana (Gen Z) wakutwa wametupwa kwenye viroba wakiwa wameuawa kwa kuchinjwa kama nyama Hali ya usalama kwa vijana walionekana Kenya inazidi kuhatarisha huku kukiwa na ongezeko la mauaji kwa vijana walioandamana kali ikiwa ni sehemu ya wanaodhani ni kulipa kisasi cha Rais wao...
  3. elimsihi

    SI KWELI Mbunge wa Kaunti ya Tongaren, John Chikati ashambuliwa na waandamanaji kwenye Maandamano ya Gen Z Kenya

    Inadaiwa kuwa picha hii inamuonesha Mbunge wa Kaunti ya Tongaren Kenya, John Murumba Chikati akiwa amevamiwa na kushambuliwa na wananchi baada ya kupigia kura ya ndiyo Muswada mpya wa Sheria ya fedha.
  4. USSR

    Rais Ruto kuongea tena na wanahabari jioni ya leo, Juni 30, 2024 Ikulu ya Kenya

    Rais wa Kenya William Ruto leo jioni ataongea na wanahabri na kurusu maswali kadhaa maarufu kama round table. USSR.
  5. Bams

    Tujifunze kutoka Kenya jinsi Mihimili ya Utawala inavyofanya kazi

    Maandamano ya vijana wa Kenya ya kupinga mswada wa sheria ya kodi 2024/2025 yaliyanza kwa amani, na baadaye yameishia kwenye maafa. Lakini inaelezwa kuwa chanzo ni baada ya Polisi kumwua kijana asiye na kosa, na hivyo kuamsha hasira za waandamanaji. Vitendo zaidi vya uhalifu vimefanywa na...
  6. Cute Wife

    Mahakama kuu yaamuru serikali kusitisha zoezi la wanajeshi kwenda mtaani kuzuia maandamo

    Mahakama Kuu yaiamuru serikali kusitisha mara moja zoezi lake la kupeleka wanaeshi mtaani ili kutuliza maandano. Hili limekuja baada ya Ikulu kutoa taarifa kuwa Rais Ruto amekataa kusaini Muswada wa Fedha na kuurudisha Bungeni. Mahakama pia imeamuru Usalama wa Taifa Kenya pamoja na Polisi...
  7. Cute Wife

    Rais Ruto ahaidi kusikiliza maoni ya vijana

    Rais Ruto anatarajiwa kulihutubia taifa muda wowote kuanzia sasa. Hii limekuja baada ya Rais Ruto kukataa kusaini Muswada wa Fedha na kuurudisha Bungeni. Usikae mbali kufuatilia updates zaidi https://www.youtube.com/watch?v=4xsmE0ko9jw Ruto atoa salamu za pole kwa waandamaji wote waliopoteza...
  8. Cute Wife

    Rais Ruto asitisha kusaini Muswada wa Sheria ya Fedha 2024, aurejesha Bungeni

    Rais Ruto amegoma kusaini Muswada wa Fedha na kuurudisha Bungeni. Hili limetokea baada ya maandamano yalikuwa yakiongozwa na Gen Z kufanyika zaidi ya wiki nchini humo. Ikulu imeripoti kwamba Rais Ruto anatarajia kuurudisha Mswada huo Bungeni kabla ya Bunge kuvunjwa baadaye leo. Rais Ruto...
  9. MK254

    Shukrani kwa ushindi vijana

    Vijana mumeitikisa nchi ikatikisika, mumenikumbusha enzi zetu wakati tulikua tunapigania demokrasia ya vyama viwili, na pia enzi za katiba mpya, ni faraja sana kujua nchi bado iko salama na kwamba hatokuja chizi yeyote na kuharibu tuliyoyapigania, na kwamba mkiitwa mnaitika na kujitokeza nchi...
  10. S

    Mahakama ya Upeo Kenya yachomwa moto

    Waandamanaji Kenya wamechoma mahakama ya ya Rufaa. Yaani wameamua kushambulia mihimili yote kuanzia Serikali, Bunge na sasa mahakama Inatisha. Pia soma===> News Alert: - Rais Ruto (kuhusu Maandamano): Ni uhaini! Tutawashughulikia
  11. JanguKamaJangu

    Several People Shot Outside Parliament In Anti-Finance Bill Protests

    Several people have been shot in a fierce clash between anti-riot police officers and protesters opposing the Finance Bill 2024 in Nairobi. Police were forced to open fire after the protesters began marching towards Parliament where lawmakers were voting to pass the controversial Bill. Source...
Back
Top Bottom