antonio guterres

  1. Dalton elijah

    Je ni nani Mwenyekiti wa Umoja wa Mataifa?

    Napenda Kuuliza Tumezoea kuona Taasisi kubwa Duniani zikiwa na uongozi kamili kuanzia Ngazi ya juu hadi ngazi ya Mwisho leo napenda kuuliza je Ni nani Mwenyekiti wa Umoja wa Mataifa Maana Tumekuwa tukisikia cheo kimoja cha katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ?
  2. Labani og

    Guterres: Israel kushambulia vikosi vya UN ni uhalifu wa kivita

    Guterres asema shambulizi la jeshi la Israel dhidi ya kikosi cha muda cha UM nchini Lebanon linaweza kuwa uhalifu wa vita. Msemaji wa katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Bw. Antonio Guterres tarehe 13 Oktoba alitoa taarifa kuhusu kikosi cha muda cha UM nchini Lebanon, akiweka bayana msimamo kuwa...
  3. U

    Katibu Mkuu Umoja wa Mataifa Antonio Guterres apigwa marufuku kukanyaga Israel kwa kushindwa kulaani shambulizi la Iran na kuunga mkono magaidi

    Wadau hamjamboni nyote? Serikali ya Israel imempiga marufuku personal non grata Katibu Mkuu wa umoja wa mataifa Antonio guterres kwa kushindwa kulaani shambulizi la makombora ya masafa marefu ya Iran dhidi ya Israel. Israel pia inamtuhumu kuwa na sera zenye uelekeo wa kutetea na kuunga...
  4. Z

    it is a big shame for ANTONIO GUTERRES not to resign till now

    MR Antonio GUTTERES should resign immediately to protect his honor as we have seen his office has supported HAMAS to invade, kill, abduct, and rape innocent ISRAEL people. This is evidenced by the fact that workers from UNRWA are members of HAMAS and participated in the barbaric massacre of...
  5. jollyman91

    Stop imposing ‘development model’ on other countries: Russia raps US

    Russia has called on the United States to stop imposing its so-called “development model” on other countries, taking a swipe at President Joe Biden for claiming Washington was ending the two-decade war in Afghanistan to “remake” other nations. Russian Foreign Minister Sergey Lavrov made the call...
  6. beth

    New York: Rais Samia akutana na Katibu Mkuu wa UN, Antonio Guterres

    Rais Samia Suluhu Hassan amekutana na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN) Antonio Guterres‬ Wawili hao wamejadili masuala mbalimbali ikiwemo athari za kiuchumi na kijamii za COVID-19, utekelezaji ya Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs) pamoja na Ulinzi na Usalama Barani Afrika Rais wa...
  7. Analogia Malenga

    Umoja wa Mataifa: Watu 9 kati ya 10 huvuta hewa chafu

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa(UN) Antonio Guterres amesema hewa chafu inasababisha vifo ambavyo vingeweza kuzuilika milioni 7 kila mwaka. Ameandika katika kila watu kumi watu tisa huvuta hewa chafu. Bila kuchukua hatua idadi ya vifo inaweza kuwa kubwa zaidi kufikia 2050. Ili kuwalinda watu na...
Back
Top Bottom