antony

Marcus Antonius (14 January 83 BC – 1 August 30 BC), commonly known in English as Mark Antony, was a Roman politician and general who played a critical role in the transformation of the Roman Republic from a constitutional republic into the autocratic Roman Empire.
Antony was a relative and supporter of Julius Caesar, and served as one of his generals during the conquest of Gaul and the Civil War. Antony was appointed administrator of Italy while Caesar eliminated political opponents in Greece, North Africa, and Spain. After Caesar's assassination in 44 BC, Antony joined forces with Lepidus, another of Caesar's generals, and Octavian, Caesar's great-nephew and adopted son, forming a three-man dictatorship known to historians as the Second Triumvirate. The Triumvirs defeated Caesar's killers, the Liberatores, at the Battle of Philippi in 42 BC, and divided the government of the Republic between themselves. Antony was assigned Rome's eastern provinces, including the client kingdom of Egypt, then ruled by Cleopatra VII Philopator, and was given the command in Rome's war against Parthia.
Relations among the triumvirs were strained as the various members sought greater political power. Civil war between Antony and Octavian was averted in 40 BC, when Antony married Octavian's sister, Octavia. Despite this marriage, Antony carried on a love affair with Cleopatra, who bore him three children, further straining Antony's relations with Octavian. Lepidus was expelled from the association in 36 BC, and in 33 BC disagreements between Antony and Octavian caused a split between the remaining Triumvirs. Their ongoing hostility erupted into civil war in 31 BC, as the Roman Senate, at Octavian's direction, declared war on Cleopatra and proclaimed Antony a traitor. Later that year, Antony was defeated by Octavian's forces at the Battle of Actium. Antony and Cleopatra fled to Egypt where, having again been defeated at the Battle of Alexandria, they committed suicide.
With Antony dead, Octavian became the undisputed master of the Roman world. In 27 BC, Octavian was granted the title of Augustus, marking the final stage in the transformation of the Roman Republic into an empire, with himself as the first Roman emperor.

View More On Wikipedia.org
  1. Waufukweni

    Neymar Jr aitwa kikosi cha Brazil baada ya miaka miwili! Antony na Endrick watemwa

    Nyota wa Soka Neymar Jr amerejea katika kikosi cha timu ya taifa ya Brazil kwa michezo ya Machi, ikiwa ni mara yake ya kwanza kuitwa baada ya takriban miaka miwili. Hata hivyo, Antony na Endrick wameachwa nje ya kikosi kwa mara nyingine tena. Kikosi Kamili: Makipa: Alisson, Bento, Ederson...
  2. Ritz

    Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Antony Blinken na waziri wa ulinzi Lloyd Austin, watoa ovyo kwa Israel

    Wanakumbi. Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Antony Blinken na Waziri wa Ulinzi Lloyd Austin waliifahamisha Israel kwamba ikiwa misaada ya kibinadamu haitaingia Gaza ndani ya siku 30, utawala wa Marekani utalazimika kuamsha "Mkataba wa Usalama wa Taifa" na kuzuia uhamisho wa silaha kwa Israeli...
  3. Beira Boy

    Mwingereza Daniel Dubois amtwanga mwingeleza Antony joshua kama ngoma

    Aman iwe nanyi wapendwa katika BWANA YESU Kwanini waingileza ndo kama wameukamata huu mchezo wa ngumi Ni baada ya hapo jana waingileza wawili kutwangana na mwingeleza mmoja kutwangwa kama Ngoma Huyu Joshua kabla hajapigana nilimpa ushauli nili mfuata inbox huko Instagram nilimpenda sana...
  4. L

    Nesi aliyempokea Lissu Hospitalini anadai kuwa Antony Mtaka alimtukana 'Fala wewe' na akamuweka mahabusu siku tatu wakati ni Mgonjwa

    Ndugu zangu Watanzania, Nimeendelea kuisikiliza video ya muuguzi aliyedai kuwa ni miongoni mwa wauguzi waliompokea Lissu hospitalini siku alipokimbiziwa hapo baada ya kushambuliwa kwa Risasi na watu wasiojulikana 2017. Ambapo katika mazungumzo hayo na Lissu muuguzi huyo ambaye anadai...
  5. Wimbo

    Antony Mtaka hatumiki kikamilifu

    Antony ana vipawa na vipaji ambavyo havijatumiwa kwa ukubwa wake, kila fulsa anazopewa anatosha kila mahali anapopangiwa anamudu mpaka chenji inabaki. Watu wa jinsi yake huwa wanapatikana wachache kwa msimu, tunapopata bahati ya watu kama hawa tuwatumie vizuri.
  6. JanguKamaJangu

    Mwanamke mmoja kati ya Washtaki watatu dhidi ya Antony aondoa malalamiko yake

    Winga huyo wa Manchester United alifunguliwa mashtaka na Wanawake watatu ya unyanyasaji na kuwashambulia, hiyo wamebaki wawili katika mchakato huo. Antony (23) kwa sasa yupo nje ya majukumu ya klabu yake kwa ajili ya kushughulikia mashtaka hayo yakiwemo dhidi ya aliyekuwa mpenzi wake, Gabriela...
  7. JanguKamaJangu

    Manchester United kumsajili Anwar El Ghazi ili kuziba nafasi ya Antony na Sancho

    Manchester United inahitaji winga wa kulia baada ya Antony kutakuwa kuwa nje ya klabu kwa muda wakati akishughulikia kesi zinazomkabili wakati Jadon Sancho hatma yake haijulikani baada ya kutofatiana na kocha wake, Erik ten Hag. El Ghazi (28) ni mchezaji huru, aliondoka PSV Eindhoven, wiki...
  8. JanguKamaJangu

    Antony atakiwa kuwa mbali na Man United hadi itakapoelekezwa vingine

    Winga huyo wa Manchester United amekubaliana na klabu yake kupewa muda wa kushughulikia suala la tuhuma za unyanyasaji dhidi ya aliyekuwa mpenzi wake Gabriela Cavallin. Antony (23) hajasimamishwa lakini amepewa muda wa kuwa nje ya ofisi yake licha kuwa anaendelea kulipwa kama kawaida, kwani...
Back
Top Bottom